• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC CHIKOKA AWATAKA WATENDAJI KUTIA MKAZO SUALA LA LISHE YA WATOTO SHULENI

Posted on: September 8th, 2025

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Juma Chikoka, ambae pia ni Mkuu wa Wilaya ya Musoma amewataka watendaji wa kata kuweka mkazo na msisitizo kwa wazazi na walezi kuchangia chakula cha wanafunzi shuleni. Mheshimiwa Chikoka amesema huwezi kutenganisha elimu na chakula kwa watoto.

Hayo yamesemwa katika kikao cha tathimini ya lishe robo ya nne katika wilaya ya Bunda kilichofanyika leo katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda ambapo kimehusisha Halmashauri zote mbili Bunda Mji na Bunda DC.

Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amezitaka Halmashauri kuweka ushindani na kutoa motisha kwa kata ambazo zitafanya vizuri na kuongeza nguvu kwa kata ambazo zinahitaji nguvu zaidi. Mbali na hilo, Mheshimiwa Chikoka amewataka viongozi wa kata kubaini changamoto au watu/makundi ya watu wanaokwamisha kampeni ya lishe kutekelezwa kwa ufanisi na kuwachukulia hatua.

Mwisho, Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ameeleza kuwa ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha utekelezaji wa kampeni ya lishe unafanikiwa kwa asilimia mia ili kuleta matokeo chanya kwa watoto na jamii kwa ujumla.

Matangazo Mengine

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI June 27, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, DEREVA June 12, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • DC CHIKOKA AWATAKA WATENDAJI KUTIA MKAZO SUALA LA LISHE YA WATOTO SHULENI

    September 08, 2025
  • MKUU WA MKOA MARA AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA KUPATA HATI SAFI

    July 13, 2025
  • WALIMU NA SHULE ZILIZOFANYA VIZURI MTIHANI WA DARASA LA SABA NA DARASA LA NNE KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA WAPONGEZWA

    June 09, 2025
  • MKUTANO MKUU WA ALAT MKOA WA MARA ROBO YA TATU 2024/2025 WAZIPONGEZA HALMASHAURI KWA UKUSANYAJI MZURI WA MAPATO NA KUZISIHI KUONGEZA NGUVU KUFIKIA MALENGO

    May 28, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda