• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA IMETOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 50 YATOLEWA KWA VIKUNDI 17 VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: December 14th, 2021

"Mikopo mliyopewa ni fedha za Umma, ni fedha za watu walipa Kodi, ni fedha za watoa Ushuru wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, nasi kwa kufuata Sheria, na Maelekezo ya Serikali tumetenga 10% kwaajili ya kutoa Mikopo kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu. Wengi wanazitaka hizi fedha lakini ninyi mmepata bahati ya kuzipata kwaiyo mpanaswa mkazifanyie kazi ili muweze kurejesha kwa wakati ili tuwapatie watu wengine nao waweze kunufaika na mkopo huu".


Hayo yamesemwa na Mhe. Joshua Nassari, Mkuu wa Wilaya ya Bunda leo tarehe 13/12/2021 alipokuwa Mgeni Rasmi katika Hafla fupi ya kutoa mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda.


Mhe. Nassari ameeleza kuwa atafuatilia vikundi vyote vitakavyokaidi kuleta marejesho kwani kutorejesha ni kuvunja Sheria za Nchi. Ameeleza  zaidi kuwa baada ya miezi miwili atatembelea vikundi vyote vilivyopewa mkopo kuona maendeleo yao.


Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, Mhe. Michael Kweka amemshukuru Mgeni Rasmi kwa kutoa muda wake kuja kukabidhi mikopo hii kwa niaba ya Halmashauri. Aidha, ameviasa vikundi kutumia fedha hizo kwa malengo kusudiwa ya kikundi na si vinginevyo "kama ni biashara zikatumike katika biashara na kama ni kilimo basi ikatumike ipasavyo" Mhe. Kweka amesisitiza. Hata hivyo, Mheshimiwa Mwenyekiti amevikumbusha vikundi kufanya marejesho hasa vikundi vya vijana ambavyo vimejijengea tabia ya kutorejesha.


Kwa upande mwingine, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda ndugu Emmanuel Mkongo, ameeleza kuwa fedha hizi zimetokana na asilimia 10% ya Makusanyo ya ndani ya Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kipindi cha Robo ya kwanza Julai – Septemba 2021. Mkongo amevishauri vikundi hivyo kutumia fedha hizi vizuri ili ziwanufaishe kimaisha.


Awali Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bi. Bonji Bugeni alitoa taarifa kuwa Jumla ya vikundi 17 vitapata mkopo huu kwa mchanganuo wa vikundi 9 vya Wanawake, 6 vya Vijana na Viwili vya Watu Wenye Ulemavu.


Halmashauri ya Mji wa Bunda imetoa jumla ya shilingi Milioni Hamsini kwa vikundi 17 vya Wajasilimali Wadogo.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda