• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUTANO MKUU WA ALAT MKOA WA MARA ROBO YA TATU 2024/2025 WAZIPONGEZA HALMASHAURI KWA UKUSANYAJI MZURI WA MAPATO NA KUZISIHI KUONGEZA NGUVU KUFIKIA MALENGO

Posted on: May 28th, 2025

Mkutano Mkuu wa ALAT mkoa wa Mara umefanyika leo tarehe 28.05.2025 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda mara baada ya ziara ya kutembelea miradi iliyofanyika jana katika Halmashauri ya Mji wa Bunda.

Akziungumza katika Mkutano huo Mwenyekiti wa ALAT mkoa Mheshimiwa Daniel Komote amezipongeza Halmashauri zote za Mkoa wa Mara kwa maendeleo mazuri ya kukusanya mapato lakini pia amezielekeza kuekelea kumaliza mwaka kuongeza nguvu na jitihada za ukusanyaji ili kufikia malengo ya makadilio yao. 

Sambamba na hilo, Mwenyekiti amezitaka Halmashauri kutenga asilimia 10 za mapato ya ndani na kuhakikisha wanazipeleka kwenye mikopo ya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu. Na pia amewataka wanufaika wa mikopo hiyo kurejesha fedha hizo ili na wengine wanufaike nazo.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara ndugu Gerald Musabila Kusaya, amewapongeza wajumbe wote wa ALAT mkoa wa Mara kwa umoja na ushirikiano mzuri waliouonesha katika kipindi chote cha miaka mitano ambao wanalekea kumaliza muda wao.

Aidha katika kuelekea kipindi cha uchaguzi Mkuu, Katibu Tawala amewaomba wajumbe wa ALAT kuhamasisha wananchi katika maeneo yao kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi. Na pia amewaomba wajumbe wa ALAT kuzisaidia Halmashauri zao kukusanya na kuongeza mapato.

Mkutano Mkuu wa leo ALAT ndio mkutano wa mwisho kwa wajumbe ambao ni madiwani wanaokwenda kumaliza kipindi chao cha miaka mitano mwezi ujao. Mwisho, Mwenyekiti amewatakia kila lakheri wajumbe ambao wataenda kutangaza tena nia kwa kipindi kijacho pindi harakati za uchaguzi zitakapoanza.


#kaziiendeleee

Matangazo Mengine

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI June 27, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, DEREVA June 12, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • MKUU WA MKOA MARA AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA KUPATA HATI SAFI

    July 13, 2025
  • WALIMU NA SHULE ZILIZOFANYA VIZURI MTIHANI WA DARASA LA SABA NA DARASA LA NNE KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA WAPONGEZWA

    June 09, 2025
  • MKUTANO MKUU WA ALAT MKOA WA MARA ROBO YA TATU 2024/2025 WAZIPONGEZA HALMASHAURI KWA UKUSANYAJI MZURI WA MAPATO NA KUZISIHI KUONGEZA NGUVU KUFIKIA MALENGO

    May 28, 2025
  • WAJUMBE WA ALAT MKOA WA MARA WAIPONEZA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 27, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda