• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUTANO WA BARAZA LA BIASHARA WILAYA YA BUNDA

Posted on: November 25th, 2022

Leo Ijumaa ya tarehe 25.11.2022 Baraza la Biashara la Wilaya ya Bunda limewakutanisha Viongozi wa Serikali pamoja na Viongozi wa wafanya biashara wa Bunda TCCIA kujadiliana mambo kadha wa kadha ya kuijenga Wilaya ya Bunda na pia kufanya Mazingira wezeshi kwa Wafanyabiashara.

Mheshimiwa Nassari ameongelea kwa uzuri suala la Ulinzi na Usalama katika Wilaya ya Bunda kwamba iko vizuri Wafanyabiashara wafanye biashara kwa Amani kabisa.

Mheshimiwa Nassari amesisitiza sana ushirikiano na Uaminifu toka Wafanyabiashara hasa wanaopewa kazi na Serikali kuzifanyia kazi hizo wa Wakati kwani baadhi yao sio waaminifu wanapopewa kazi hawazifanyi kwa wakati na wengine kupandisha bei ya bidhaa zao kisa tu Serikali inataka kununua. Mheshimiwa Nassari amesema ushirikiano mzuri unaanza kwanza kwa Wafanyabiashara wenyewe na Kisha kwa wateja wao.

Aidha Mheshimiwa Nassari amewaambia Wafanyabiashara kwamba milango ya Ofisi yake ipo wazi muda wote pale wanapohitaji mashauriano yoyote kutoka Serikalini wanakaribishwa ikiwa ni pamoja na kuwaunganisha na Taasisi au Mamlaka, Kampuni au Mamlaka yoyote ambayo inaweza kuwafanikisha katika biashara zao.

Kwa upande wa Wakurugenzi, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda amesema dai la ushuru wa Malazi la 10% ni Kubwa kama wanavyodai Wafanyabiashara, Mkurugenzi amesema ushuru huo upo kwa mujibu wa Sheria ambapo mwanzo ilikua asilimia 20 lakini kwa busara Bunge likapunguza na kuwa asilimia 10.

Wafanyabiashara pia walihoji juu ya Halmashauri kufanya biashara, Mkurugenzi alisema kuwa ni kweli Halmashauri inakiwanda  Cha Tofali kama ilivyo kwa baadhi ya Halmashauri nyingine. Amesema kuwa Halmashauri iliamua kuanzisha kiwanda hicho kutokana na changamoto za ubora wa tofali zinazozalishwa na baadhi ya Wafanyabiashara na changamoto zilizojitokeza Wakati wa ujenzi wa Madarasa ya UVIKO zaidi ni kupunguza gharama.


Kwa upande wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Bi. Mkwazu aliongeza kusema kuwa Halmashauri ziliamua kufuata bidhaa za ujenzi viwandani kwasababu Wafanyabiashara wetu wanapandisha bei na wanakataa  kupeleka biadhaa kwa baadhi ya vijiji vyake na wengine kuchelewesha bidhaa hizo.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA ANUANI ZA MAKAZI March 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 25, 2018
  • HABARI NJEMA KWA WANABUNDA WOTE NA WALIO NJE YA BUNDA. May 08, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2020
  • Soma yote

Habari mpya

  • SHULE BORA KUIMARISHA USHIRIKIANO BAINA YA WAZAZI NA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI BUNDA MJINI (UWAWA)

    March 09, 2023
  • BARAZA LA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA LIMEPITISHA BAJETI YA TSH. BILIONI 32.9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    March 09, 2023
  • MKUTANO WA BARAZA LA HALMASHAURI KUELEZA SHUGHULI ZA UTEKELEZAJI ROBO YA PILI 2022/2023

    March 02, 2023
  • SHILINGI BILIONI 4.7 ZATENGWA NA TARURA KUTENGENEZA BARABARA NDANI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

    February 10, 2023
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda