• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA MKOA MARA AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA KUPATA HATI SAFI

Posted on: July 13th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Kanali Evans Alfred Mtambi aipongeza Halmashauri ya Mjiwa Bunda kwa kuibuka na Hati safi ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali kwa Miaka mitano mfululizo.

"Kwenye Halmashauri nyingine nilikokupita nilikua nakuta hoja ishirini na.., tisini na..nyingi kweli kweli, lakini hapa nimekutana na hoja chini ya ishirii na kimsingi 12 tu ndio zinazoendelea hongereni sana."

Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ameipongeza Halmashauri pia kuwa na maagizo matatu tu ya Kamati ya Bunge huku agizo moja likiwa tayari limeshatekelezwa. Katika hili ameitaka Menejimenti kuhakikisha wanafanyia kazi maagizo yote ya Kamati za Bunge.

Kwa upande mwingine Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ameielekeza Baraza la Madiwani kushirikiana na Menejimenti kuibua vyanzo vipya vya mapato, kuimarisha usimamizi wa vyanzo vilivyopo, na kufanya upembuzi wa kina kubaini haki na stahiki za Halmashauri zitokana na shughuli za Utalii katika hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Mwisho Mheshimiwa Mtambi amemtaka Mkurugenzi kuhakikisha fedha zote zinazokusanywa zinapelekwa benki, Halmashauri kuendelea kutengeza fedha za asilimia kumi za mikopo ya Wanawake vijana na watu wenye ulemavu lakini pia kuwachukulia hatua za kinidhamu kwa wote wanaosababisha hoja.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Aswege Enock Kaminyoge alieleza hali ya usalama katika Wilaya ya Bunda kwamba ni shwari. Mkuu wa wilaya alieleza hali ya tembo kuvamia makazi ya wananchi kutokana na kutafuta chakula ambacho ni mazao ya wananchi ambapo ofisi yake ilifanikiwa kukaa na uongozi wa wananchi hao na kuweka mikakati ya kuwazuia wanyama hao.

Mhe. Kaminyoge ameeleza pia kuwa Wilaya inajitahidi kuhamasisha wazazi kuchangia chakula shuleni na watoto kupata chakula shuleni, pia ameeleza zoezi la kukarabati wa miundombinu chakavu kuwa linaendelea katika sekta mbalimbali za serikali.

Wakati akitoa salamu zake, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Bunda Ndg. Mayaya Ibrahimu Magese ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kuendelea kufanya vizuri katika utendaji wa kila siku kuwahudumia wananchi, kupata Hati safi na kutekeleza vema ilani ya Chama cha Mapinduzi.


#kaziiendeleee

Matangazo Mengine

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI June 27, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, DEREVA June 12, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • MKUU WA MKOA MARA AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA KUPATA HATI SAFI

    July 13, 2025
  • WALIMU NA SHULE ZILIZOFANYA VIZURI MTIHANI WA DARASA LA SABA NA DARASA LA NNE KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA WAPONGEZWA

    June 09, 2025
  • MKUTANO MKUU WA ALAT MKOA WA MARA ROBO YA TATU 2024/2025 WAZIPONGEZA HALMASHAURI KWA UKUSANYAJI MZURI WA MAPATO NA KUZISIHI KUONGEZA NGUVU KUFIKIA MALENGO

    May 28, 2025
  • WAJUMBE WA ALAT MKOA WA MARA WAIPONEZA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 27, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda