• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

Posted on: February 27th, 2025

Adeladius Makwega-Musoma MARA


Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi leo amempokea rasmi Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Aswege Enock Kaminyoge aliyefika kurepoti leo baada ya kuhamishiwa akitokea Wilaya ya Maswa na kumtaka kusimamia amani na utulivu na hususan mwaka huu wa uchaguzi Mkuu. 

Mhe. Mtambi amesema wakati wa uchaguzi wako baadhi ya watu wanapenda kuanzisha chochochoko na kuongeza kuwa Mkoa wa Mara hautaruhusu mtu yoyote aichezee amani na utulivu uliopo kwa sasa. 

“Shabaha yetu ni kujenga uchumi wa Mkoa na hususani kwa ajili ya wananchi wanaoishi katika Mkoa wa Mara ili waweze kunufaika na fursa mbalimbali zilizopo katika Mkoa na hayo yatafanikiwa tu endapo amani na utulivu vitaendelea kutawala” amesema Mhe. Mtambi.  

Mhe. Mtambi amewataka Wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wa Mara kuwa makini na  homa za kisiasa zinazoweza kuvuruga amani na utulivu uliopo na kuutoa Mkoa kwenye adhma yake ya kukuza uchumi wa wananchi wake. 

Kanali Mtambi amewataka Wakuu wa Wilaya kuhakikisha wananchi wapo salama na wanaendelea kufanya shughuli zao kama kawaida na wanasiasa wanafanya siasa zao kama kawaida kwa amani na utulivu kwa kuzingatia Sheria, kanuni na miongozo ya Serikali.  

“Pale Bunda Mji tuna madini na wananchi wapo kazini wakichimba madini yaliyogundulika katika eneo hilo na wajibu wetu kama Serikali ni kuwawekea mazingira wachimbaji hao wadogo waweze kufanya shughuli zao na kulipa kodi zinazohitajika kwa Serikali” amesema Mhe. Mtambi. 

Akizungumza katika mapokezi mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe.Kaminyoge amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kumuamini. 

Mhe. Kaminyonge amesema atatekeleza maagizo aliyompatia kwa nguvu na moyo wote na kuwaomba wananchi wa Wilaya ya Bunda kumpokea na kumpatia ushirikiano.

Kwa upande wake, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vincent Naano Anney amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Mtambi kwa kufanya naye kazi vizuri kwa kipindi chote akiwa Bunda na kuahidi kufanya kazi kwa vizuri akiwa Maswa kwa maslahi mapana ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


#kaziiendeleee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda