• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WALIMU BUNDA SEKONDARI WAPEWA ZAWADI YA MAJIKO YA GESI NA FEDHA TASILIMU TSH. MILIONI 3 PONGEZI KWA MATOKEO MAZURI YA WANAFUNZI KIDATO CHA NNE 2023

Posted on: March 15th, 2024

Ukiona vyaelea jua vimeundwa, Ukiona matokeo mazuri ya wanafunzi jua kuna jasho la Walimu nyuma yake. Katika kuendelea kuhakikisha shule ya Sekondari Bunda inaendelea kuboresha matokeo ya wanafunzi, Leo Uongozi wa shule umeendeleza Utamaduni wake wa kutambua na kuthamini nguvu na mchango mkubwa wa Walimu wake.

Chini ya Uongozi wa Mkuu wa shule Mwl. Charles Somba ametoa Zawadi ya Majiko ya gesi 49 ambapo kila mtumishi wa shule ambaye amechangia kwa namna Moja ama nyingine matokeo mazuri amezawadiwa jiko la gesi. Hii inajumuisha Walimu (Waliojiriwa na wanaojitolea), Wapishi, Walinzi, Nesi wa shule pamoja na Mwandishi Mwendesha Ofisi (OMS).

Mbali na Zawadi ya Majiko, Walimu waliofanya vizuri katika masomo yao kwa kuzingatia madaraja ya ufaulu ikiwemo kufuta kabisa daraja F wamepewa fedha taslimu kama Motisha ya kuendelea kufanya vizuri. Jumla ya fedha taslimu Shilingi milioni 3.29 zimetolewa.

Akikabidhi zawadi hizo katika tafrija fupi iliyofanyika katika Ukumbi wa Heriet Mwl. Ayubu H. Mbilinyi Afisa Elimu Taaluma Mkoa wa Mara ambaye pia alikua Mgeni Rasmi akimwakilisha Afisa Elimu Mkoa wa Mara ameupongeza Uongozi wa shule ya Sekondari Bunda kwa kutambua mchango wa Walimu katika kufanikisha matokeo mazuri ya wanafunzi kwa kutoa Motisha nzuri inayowapa moyo na hamasa Walimu kuendelea kufanya vizuri zaidi

Wageni wengine walioalikwa ni Afisa Elimu Taaluma Halmashauri ya Mji wa Bunda Mwl. Christopher Katega akimwakilisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, Afisa Elimu Taaluma Mkoa wa Manyara Mwl. Kora Machota, Idara ya Elimu Sekondari ikiwakilishwa na Madam Sauda Mwakyembe, Afisa Elimu Kata ya Kabarimu pamoja na Wakuu wa shule za Sekondari za Halmashauri ya Mji wa Bunda wakiongozwa na Mwenyekiti wa Wakuu wa shule (TAHOSA) Mwl. Bwire.

Shule ya Sekondari Bunda imefanikiwa kwa asilimia 100 kuondoa daraja sifuri katika matokeo ya Kidato Cha nne. Kwa mwaka 2023 matokeo ya kidato Cha nne yalikua kama ifuatavyo Daraja I - 29, II -38, III - 37, IV - 66, 0 - HAKUNA


#kaziiendeleee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda