• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WALIMU NA SHULE ZILIZOFANYA VIZURI MTIHANI WA DARASA LA SABA NA DARASA LA NNE KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA WAPONGEZWA

Posted on: June 9th, 2025

Halmashauri ya Mji wa Bunda imeandaa Hafla fupi ya kuzipongeza shule za Msingi ambazo zimefanya vizuri katika Mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa darasa la Nne na darasa la saba mwaka 2024.

Hafla hiyo jmefanyika leo tarehe 09 Juni 2025 katika ukumbi wa Heriet Bunda ambapo Mkuu wa Wilaya Mhe. Aswege Enock Kaminyoge alikua Mgeni rasmi.

Kabla ya kugawa Tuzo, Mgeni rasmi Mhe. Aswege Kaminyoge alisema ili ufaulu uongezeke na Halmashauri iendelee kufanya vizuri ni lazima Halmashauri isimamie na kuzingatia stahiki na maslahi ya Walimu kwa wakati, lazima motisha izidi kutolewa kwa wanafunzi, walimu na shule zilizofanya vizuri kama pongezi na kutia hamasa ya kuendelea kufanya vizuri.

DC Kaminyoge ameongeza kusema kuwa, upimaji wa wanafunzi ni lazima uwe sawa kwa shule binafsi na shule za Serikali ili ushindani uwe wa kutosha kwa wanafunzi wote, ni lazima suala la lishe kwa wanafunzi lizingatiwe hasa wanafunzi kula shuleni ambapo ameelekeza kata na mitaa kufanya vikao vya kukubaliana kuchangia chakula kwaajili ya wanafunzi shuleni. Na mwisho amesisitiza kuendelea kufanya vikao vya tathimini ili kubaini mapungufu yaliyobainika ili yafanyiwe kazi na kupanga mikakati mipya.

Awali Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ndg. Juma Haji Juma alisema Halmashauri imekua ikitoa motisha kwa walimu na kufanya Tathimini ya Upimaji wa darasa la saba na darasa la nne na kwamba huu ni msimu wa Pili toka zoezi hili lianze.

Aidha Mkurugenzi alisoma alisoma matokeo ya shule jinsi zilizvyofanya kwa darasa la saba na darasa la nne ambapo alisema kuwa darasa la saba wamefaulu kwa asilimia 72.1 na darasala nne wamefaulu kwa asilimia 73. Mwisho Mkurugenzi amemhakikishia Mgeni rasmi ya kwamba atasimamia maelekezo yote aliyoyatoa na kuhakikisha yanatekelezwa.

Matangazo Mengine

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI June 27, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, DEREVA June 12, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • MKUU WA MKOA MARA AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA KUPATA HATI SAFI

    July 13, 2025
  • WALIMU NA SHULE ZILIZOFANYA VIZURI MTIHANI WA DARASA LA SABA NA DARASA LA NNE KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA WAPONGEZWA

    June 09, 2025
  • MKUTANO MKUU WA ALAT MKOA WA MARA ROBO YA TATU 2024/2025 WAZIPONGEZA HALMASHAURI KWA UKUSANYAJI MZURI WA MAPATO NA KUZISIHI KUONGEZA NGUVU KUFIKIA MALENGO

    May 28, 2025
  • WAJUMBE WA ALAT MKOA WA MARA WAIPONEZA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    May 27, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda