• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA MAWAZIRI NANE WA KISEKTA YAWAONDOA WASIWASI WANANCHI WA NYATWALI

Posted on: January 4th, 2023

Tarehe 04.01.2023

Ziara ya Mawaziri nane wa Kisekta wakiongozwa na Waziri Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi Mheshimiwa Angelina Mabula imefika Kata ya Nyatwali iliyopo Halmashauri ya Mji wa Bunda kuwaeleza wananchi msimamo wa Serikali kulitwaa eneo la Nyatwali (Ghuba ya Speke) kuliunganisha na hifadhi ya Serengeti.

Serikali imesema inatwaa eneo hilo kwa manufaa makubwa ya Taifa na Usalama wa Wananchi wa Nyatwali dhidi ya Wanyama wakali wa porini.

Aidha, Mawaziri hao wamewaondoa hofu Wananchi wa Nyatwali juu ya stahiki zao na mahali ambapo watakwenda mara baada ya kuhamishwa. Wasema Serikali imejipanga kuhakikisha kule ambako Wananchi watahamia huduma zote za msingi kama ambavyo zilikua zinapatikana katika eneo hilo la Nyatwali zitapatikana kama kawaida.

Huduma za afya, Elimu, ufugaji, Kilimo na umwagiliaji, huduma ya maji vyote vitazingatiwa.

Aidha mheshimiwa Mabula amesema Serikali haitawabeba na kuwapeleka sehemu fulani na badala yake baada ya uthamini na malipo kufanyika Serikali itawaelekeza maeneo ambayo yametengwa ambayo mwananchi atachagua wapi ahamie, yaweza kuwa ndani ya mkoa wa mara au nje ya mkoa.

Mheshimiwa Mabula amewatoa hofu Wananchi hao juu ya mwekezaji katika eneo hilo na kusema, hakuna mwekezaji ambae anakuja kulichukua eneo hilo, hayo ni maneno ya uongo na uzushi na yapuuzwe.

Aidha mheshimiwa Mabula amewaomba Wananchi kuwa watulivu wakati Serikali ikiendelea na zoezi la uthamini na kila mwananchi atalipwa kulingana na sheria, taratibu na kanuni za nchi bila kumuonea mtu hata mmoja. Gharama za uthamini wa vitu tayari wananchi walishaelezwa na zimebandikwa katika mbao za matangazo.

Awali Wizara zote nane za Kisekta zilizieleza jinsi gani zilivyojipanga kuhakikisha haki na huduma stahiki kwa Wananchi hao zinazingatiwa popote pale watakapokwenda.

Kabla ya Mkutano wa Hadhara, kilifanyika kikao cha ndani cha Mawaziri na Uongozi wa mkoa na Wilaya ya Bunda ambapo mheshimiwa Joshua Nassari Mkuu wa Wilaya alieleza hatua mbalimbali zilizofanyika kuanzia mwanzo hadi sasa ikiwa ni pamoja na kutoa elimu na kuanza zoezi la uthamini.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA ANUANI ZA MAKAZI March 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 25, 2018
  • HABARI NJEMA KWA WANABUNDA WOTE NA WALIO NJE YA BUNDA. May 08, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2020
  • Soma yote

Habari mpya

  • SHULE BORA KUIMARISHA USHIRIKIANO BAINA YA WAZAZI NA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI BUNDA MJINI (UWAWA)

    March 09, 2023
  • BARAZA LA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA LIMEPITISHA BAJETI YA TSH. BILIONI 32.9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    March 09, 2023
  • MKUTANO WA BARAZA LA HALMASHAURI KUELEZA SHUGHULI ZA UTEKELEZAJI ROBO YA PILI 2022/2023

    March 02, 2023
  • SHILINGI BILIONI 4.7 ZATENGWA NA TARURA KUTENGENEZA BARABARA NDANI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

    February 10, 2023
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda