• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUTANO WA BARAZA LA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA ROBO YA KWANZA 2021/2022 TAREHE 18-19/11/2021

  • Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashuri ya Mji wa Bunda Ndg. Michael Kweka akifungua Baraza la Halmashauri robo ya kwanza 2021/2022 kujadili ajenda 11 kama zilivyopitishwa na Waheshimiwa Madiwani.

    Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Ndg. Salum Mtelela, akitoa maelekezo ya Serikali katika Baraza la Halmashauri ya Mji wa Bunda uku akisisitiza uwajibikaji kwa watumishi wa Serikali na ushirikiano kutoka kwa Waheshimiwa Madiwani katika kusimamia shughuli za maendeleo ya Halmashauri ya Mji wa Bunda. Aiadha ametoa wito kwa Waheshimiwa Madiwani pamoja na Watendaji kushirikiana kwa pamoja kutokameza mimba mashuleni.

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Ndg. Emmanuel Mkongo akitoa ufafanuzi na ushauri kwa baadhi ya hoja zilizokuwa zikiibuka katika mkutano wa Baraza la Halmashauri la robo ya kwanza.

    Mheshimiwa Robert Chacha Maboto, Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini akitoa ushauri kwa Watendaji kushirikiana na waheshimiwa madiwani katika kutekeleza na kusimimamia miradi inayotekelezwa na Serikali chini ya Chama cha Mapinduzi uku akiwaomba Waheshimiwa Madiwani kutokua vikwazo kwa wananchi kujitokeza kuchangia shughuli za maendeleo ikiwa ni pamoja na miradi ya ujenzi wa madarasa unaoendelea chini ya ufadhili wa Mpango wa Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko - 19

    Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Mhe. Mathayo Machiru akitoa ufafanuzi kwa baadhi ya mambo kwa Waheshimiwa Madiwani, Wakuu wa Idara na wageni waalikwa waliohudhuria mkutano wa baraza.

    Baadhi ya Waheshimiwa Madiwani wakifatiilia kwa ukaribu Baraza la robo ya kwanza 2021/2022

    Mheshimiwa mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda akifunga Mkutano wa Baraza la Halmashauri kwa robo ya kwanza uku akiwashukuru Waheshimiwa Madiwani, Wakuu wa Idara na wageni waalikwa kwa mahudhurio mazuri na kufungua dirisha la ushauri katika masuala ya kuijenga Halmashauri yetu.

    Mwonekano wa Baraza la Halmashauri wakati mkutano ukiendelea

    Baadhi wa wakuu wa Idara na vitengo pamoja na wageni waalikwa wakifatilia kwa ukaribu Mkutano wa Baraza la Halmashauri ya Mji wa Bunda.

    Baadhi ya Wakuu wa Idara na vitengo pamoja na wageni waalikwa wakifatilia kwa ukaribu Mkutano wa Baraza la Halmashauri ya Mji wa Bunda

    Meneja TARURA Ndg. Kalomo akieleza hali ya utetekelezaji na ukarabati wa barabara mbalimbali katika Halmashauri ya Mji wa Bunda. Aidha Waheshimiwa Madiwani wamemshauri Meneja Tarura kushirikiana na Waheshimiwa Madiwani kubaini barabara zenye changamoto zaidi kupewa kipaumbele kukarabatiwa na kujengwa upya.

    Kaimu meneja Buwsa akijibu maswali kutoka kwa Waheshimiwa Madiwani uku akieleza kuwa changamoto ya maji inayojitokeza sasaivi ni kutokana na mabomba mengi kukatwa katika ujenzi wa barabara ya Bunda - Serengeti unaoendelea hivi sasa, hata hivyo changamoto hizo zimeshaanza kupatiwa ufumbuzi na muda si mrefu maji yatatoka kama kawaida.

    Meneja BUWASA Ndg. Mfungo, akielezea miradi ya maji inayotekelezwa sasa katika mitaa ambayo hapo awali ilikua vijiji ikiwa ni pamoja na mradi uliotengewa fedha na Serikali shilingi milioni 500 kupeleka maji Mtaa wa Bitaraguru kata ya Kabasa. Ndg. Mfungo amesema mradi huo upo kwenye hatua za mwisho kufanyiwa kazi na kuongeza kuwa fedha hizo zitasadia kuongeza pampu ya pili ili kuhakikisha wakazi wa Bitaraguru wanapata maji ya uhakika wakati wote.

    Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda akiendelea kutoa msisitizo kwa baadhi ya mambo katika Mkutano.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda