• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA MKUU WA MKOA WA MARA ALLY HAPI WILAYANI BUNDA KUKAGUA UJENZI WA MADARASA UNAONDELEA CHINI YA MPANGO WA MAENDELEO YA USTAWI WA TAIFA NA MAPAMBANO DHIDI YA UVIKO - 19

  • Mkuu wa Mkoa wa Mara akiwasili katika shule ya sekondari Sazira. Tarehe 30/11/2021

    Ukaguzi shule ya Sekondari Sazira.

    Pichani Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, Shule ya Sekondari Sazira.

    Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Joshua Nassari akiteta jambo na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda wakati wa ukaguzi shule ya Sekondari Sazira.

    Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda wakisikiliza maelekezo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Shule ya Sekondari Sazira.

    Mkuu wa Mkoa wa Mara Ally Hapi akitoa maelekezo kwa mafundi wanaojenga madarasa ya shule ya Sekondari Sazira.

    Mkuu wa Mkoa wa Mara Akiwasili shule ya Sekondari Bunda kukagua ujenzi wa Madarasa.

    Mkuu wa Mkoa wa Mara akipokea Taarifa kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Bunda Mwl. Ediga Thobias juu ya ujenzi wa madarasa matatu na Ofisi moja unaondelea sasa.

    Mafundi wakiendelea na ujenzi wa madarasa matatu na Ofisi moja wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Mara shule ya Sekondari Bunda

    Ziara Shule ya Sekondari Bunda

    Ziara Shule ya Sekondari Bunda

    Mkuu wa Mkoa wa Mara akitoa maelekezo kwa Kamati ya ujenzi wa madarasa shule ya Sekondaari Bunda

    Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Joshua Nassari akieleza kuyapokea maagizo na maelekezo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na kuahidi kuyafanyia kazi.

    Mhe. Ally Hapi, Mkuu wa Mkoa wa Mara akitoa maelekezo na ushauri kwa waheshimiwa Madiwani na Watendaji wa Serikali juu ya Miradi ya ujenzi wa madarasa unaoendelea uku akisisitiza Uongozi imara, ushirikiano na ufuatiliaji ili kukimbizana na tarehe ya ukamilishaji uliowekwa Kitaifa.

    Mkuu wa Mkoa wa Mara akiwa katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Kuongea na Waheshimiwa Madiwani na Watendaji wa Serikali baada ya ukaguzi wa ujenzi wa madarasa

    Viongozi mbalimbali wakati wa kikao cha majumuisho ya ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa Madarasa Wilayani Bunda.

    Ukaguzi shule ya Sekondari Sazira

    Ukaguzi shule ya Sekondari Bunda

    Mkuu wa Mkoa wa Mara na msafara wake wakiondoka shule ya Sekondari Sazira

    Mkuu wa Mkoa wa Mara akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Bunda pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda wakati wakiondoka shule ya Sekondari Sazira.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda