• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

AICT YAWAPIGA MSASA MAAFISA KILIMO NA WAKULIMA WAWEZESHAJI BUNDA MJINI BUTIAMA, SERENGETI

Posted on: September 29th, 2022

Mradi wa Kilimo Hifadhi kutoka Kanisa la AICT Dayosis ya Mara na Ukerewe imetoa mafunzo kwa Maafisa Kilimo kata na Wakulima Wawezeshaji 55 kutoka Halmashauri ya Mji Bunda, Serengeti na Butiama kuhusiana na Mbinu shirikishi/jumuishi za udhibiti wa wadudu waharibifu na matumizi sahihi ya viuatilifu.

Akizungumza katika mafunzo hayo Afisa Mradi wa Kilimo Hifadhi Bw. Charles Loleku amesema baada ya mafunzo haya wanategemea washiriki kwenda kuwafundisha Wakulima wengine katika maeneo yao ili kufanya Kilimo chenye tija.

"Mafunzo haya tumefanya kwa siku tatu na baada ya hapo zoezi litakua endelevu kwenda kuwafundisha Wakulima kwasababu tunataka mpaka Wakulima wanapofikia msimu basi wawe na Uelewa wa kutosha kabla ya uvamizi wa wadudu." Amesema Charles Loleku.

Bwana Loleku ameongeza kusema "bila Chakula hatuwezi kufanya kazi yoyote kwahiyo sisi tuna haki na wajibu wa kuhakikisha usalama wa Chakula katika maeneo yetu tunayofanya kazi."

Kwa upande wake Afisa Kilimo Halmashauri ya Mji wa Bunda Bi. Adelina Mfikwa amesema anayofuraha kwa mafunzo haya kufanyika katika Halmashauri yake na jumla ya washiriki kutoka Halmashauri ya Mji wa Bunda ni Maafisa Kilimo 13 na Wakulima Wawezeshaji 7.

Bi. Adelina amesema "AICT wamekua wadau wetu wakubwa kwenye kutekeleza Kilimo Hifadhi na kutokana na Mabadiliko ya Tabia Nchi Wakulima hawanabudi kupata hii teknolojia ya Kilimo Hifadhi Ili uzalishaji wa mazao usitetereke kwa kiasi kikubwa na mahali pengine tuboreshe Afya ya udongo tuweze kuongeza uzalishaji."

Aidha Bi. Adelina amesema kuwa matarajio yetu ni kwamba Maafisa Kilimo na Wakulima Wawezeshaji waliofundishwa watapeleka Elimu sahihi kwa maeneo wanayotoka ili kuongeza uzalishaji wa Chakula.

Hata Hivyo Afisa Kilimo hakusita kutoa rai kwa Wakulima kuchukua tahadhari ya usalama pindi wanapotumia viuatilifu na wazingatie maelekezo husika ya viuatilifu kwa kusoma vibandiko vilivyopo kwenye chupa za viuatilifu ambavyo vimeandikwa kwa lugha rafiki ya Kiswahili.

Mradi wa Kilimo Hifadhi ni Mradi wa AICT Dayosis ya Mara na Ukerewe unaofanya kazi kwa kushirikiana na Serikali wenye lengo la kuboresha Afya ya udongo ili kuweza kuongeza uzalishaji.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda