• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BALOZI WA PAMBA NCHINI AGGREY MWANRI AHIMIZA UANZISHWAJI WA MASHAMBA DARASA YA PAMBA

Posted on: August 9th, 2023

Jumatano 09.08.2023

Balozi wa pamba nchini Tanzania Mhe. Aggrey Mwanri amefanya ziara yake katika Wilaya ya Bunda kwa kuzikutanisha Halmashauri zote mbili huku akitoa semina kwa Watendaji kata , Mitaa, Vijiji, Maafisa Ugani, wawakilishi wa AMCOS, wawakilishi wa makampuni ya kilimo na wataalum wa kilimo toka Halmashauri zote mbili za Bunda juu ya kuongeza tija katika kilimo cha pamba.

Awali, mwenyeji wake Ndg. Salum Mtelela Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda kwa niaba ya Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, alitoa pongeza kwa Barozi wa pamba kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya kwa Wakulima wa pamba ambayo inawafanya kuongeza tija katika kilimo cha pamba. Katibu Tawala alitoa wito wa wajumbe wa Kikao kusikiliza na kufuata mafundisho ya barozi ili kufikia malengo ya Serikali ambayo kama Wilaya imepangiwa kutimiza katika uzalishaji wa pamba.

Mhe. Aggrey Mwanri amesisitiza uanzishwaji wa mashamba darasa katika kipindi hiki ambacho wakulima wengi wa pamba wapo likizo na wanaendelea na uuzaji wa pamba katika masoko.

Aidha, Balozi amesema kuwa mashamba darasa hayo yanatakiwa kuanzishwa ifikapo tarehe 15.08.2023 ili kuwapa elimu bora wakulima kabla ya kuanza kilimo na hii itawasaidia sana wakulima kuweza kupata mazao bora kwani wataanza kulima kwa wakati wakiwa na elimu sahihi.

Hata hivyo, Balozi wa pamba nchini Tanzania amesisitiza matumizi bora ya pembejeo za kilimo ilkiwemo samadi na mbegu mbora za kilimo pia sumu za kuulia wadudu, ambapo pia ameeleza mbinu bora ya kulima (60:30), kuandaa mashamba mapema na jinsi gani ya kuvuna pamba na kuhifadhii ili iwezee kua bora na yenye ushindani.

Kwa upande mwingine Balozi wa pamba ametoa takwimu za kupanda na kushuka kwa bei ya pamba katika soko ambapo amesema wakati wa mlipuko wa ugonjwa wa UVIKO (Covid -19) bei ya pamba kwa kilo moja ilifika shiling 2,400/- lakini baada ya Covid -19 bei ya pamba ilishuka hadi kufikia Tsh. 1,060/- hii ni kwa sababu ya ongezeko la nchi ambazo zinalima pamba kuanza kuuza tena pamba katika soko la dunia.

Lengo la Serikali ni kufikia uzalishaji wa Tani milioni moja na kuwa kinara wa uzalishaji Afrika.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda