• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA LIMEPITISHA BAJETI YA TSH. BILIONI 32.9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

Posted on: March 9th, 2023

Baraza la Halmashauri ya Mji wa Bunda chini ya Mwenyekiti Mheshimiwa Michael Kweka limekubali na kupitisha mpango na bajeti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa mwaka wa fedha 2023/2024 wenye thamani ya shilingi Bilioni 32,923,527,000/-

Baraza limeeleza kuwa Bajeti hiyo imezingatia vipaumbele vya Halmashauri ikiwemo, mishahara ya Watumishi, miradi ya Maendeleo pamoja na shughuli mbalimbali zinazojitokeza hatika Halmashauri ikiwemo uendeshaji wa Halmashauri.

Waheshimiwa Madiwani wameahidi kuilinda bajeti hiyo, ili iweze kutekelezwa kama ilivyokusudiwa katika kila idara na Halmashauri kwa ujumla.

Aidha katika baraza hilo, wajumbe walitaka kujua kwa kina kuhusiana na suala la miradi ya TASAF ya ulimaji barabara jinsi ilivyopangwa ambapo walielezwa kwamba miradi hiyo inatekelezwa chini miongozo iliyoletwa na TASAF Makao Makuu na sio kwamba inapangwa na Halmashauri.

Hata hivyo Halmashauri imekiri kuwepo kwa changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika mradi huo ikiwa ni pamoja na upungufu wa vitendea kazi kama vile majembe, gloves pamoja na sululu.

Mkurugenzi wa Halmashauri Ndg. Emmanuel Mkongo amekiri kuzipokea changamoto hizo na kuziwasilisha katika Mamlaka husika.

Awali, Waheshimiwa Madiwani waliwasilisha mapendekezo ya bajeti ya kufanya ziara ya kujifunza katika Halmashauri nyingine ambapo majibu yalitolewa na Mkurugenzi kwamba suala ni jema japokua linakwamishwa na ufinyu wa mapato ya Halmashauri.

Na pia Waheshimiwa Madiwani wameitaka Halmashauri kuwashirikisha katika miradi yote ya maendeleo ambayo inaelekezwa katani. Katika hilo Mkurugenzi Mkongo alisema tayari suala hilo lilishafanyiwa kazi na maelekezo yalishatolewa kwa watendaji wa kata kutoa taarifa ya miradi yote inayotekelezwa katani iwe miradi ya Elimu, Afya au miradi mingineyo.

Mwisho Baraza la Halmashauri limepitisha viwango vya ushuru wa huduma kwa wafanyabiashara wasiokuwa na hesabu za biashara wanaopaswa kulipa ushuru wa huduma wa asilimia 0.3 kwa mujibu wa Sheria.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA ANUANI ZA MAKAZI March 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 25, 2018
  • HABARI NJEMA KWA WANABUNDA WOTE NA WALIO NJE YA BUNDA. May 08, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2020
  • Soma yote

Habari mpya

  • SHULE BORA KUIMARISHA USHIRIKIANO BAINA YA WAZAZI NA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI BUNDA MJINI (UWAWA)

    March 09, 2023
  • BARAZA LA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA LIMEPITISHA BAJETI YA TSH. BILIONI 32.9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    March 09, 2023
  • MKUTANO WA BARAZA LA HALMASHAURI KUELEZA SHUGHULI ZA UTEKELEZAJI ROBO YA PILI 2022/2023

    March 02, 2023
  • SHILINGI BILIONI 4.7 ZATENGWA NA TARURA KUTENGENEZA BARABARA NDANI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

    February 10, 2023
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda