• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA LARIDHIA PUNGUZO LA BEI KWA WAKAZI WA NYATWALI

Posted on: October 1st, 2024

Mkutano wa Baraza la Halmashauri ya Mji wa Bunda chini ya Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Michael Kweka limeketi leo kupitia na kujadili punguzo la bei ya Viwanja kwaajili ya wananchi wa Kata ya Nyatwali wanaohama kupisha eneo hilo kuwa sehemu ya Hifadhi ya wanyama ya Serengeti.

Akitoa ufafanuzi wa ajenda hiyo Mkurugenzi Bwn. Juma Haji Juma amesema Halmashauri imefikia hatua hiyo katika kuteleleza agizo la Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Mara la kutafuta Viwanja ambavyo wananchi wa Nyatwali wenye malengo ya kuendelea kuishi katika Halmashauri ya Mji wa Bunda wapate viwanja kwa bei nafuu.

Mkurugenzi ameeleza kuwa mchakato wa kupunguza bei ulianza katika Vikao vya Menejimenti na Kisha kupitishwa katika Kamati ya Fedha na mwisho kuletwa katika Baraza.

Baada ya Ufafanuzi huo wajumbe walipitia na kutoa maoni yao na kisha kuridhia mapendekezo hayo na kuyapitisha. Aidha Baraza limeitaka Mejimenti katika Vikao vijavyo kuandaa taarifa inayoonesha fidia hasa kwa upande wa mali za Serikali zilizopo katika Kata hiyo.

Na pia Baraza limeielekeza Menejimenti katika Baraza lijalo kualika Uongozi wa TANAPA ili kuweza kutoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya Waheshimiwa Madiwani jinsi hali itakavyokua hasa baada ya Wananchi wa Nyatwali kuhama.

Awali Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Bwn. Salum Mtelela wakati akijibu hoja za wajumbe wa Kikao alisema Serikali wakati inaanzisha mchakato huu ilihusisha Baraza la Madiwani na kufanya Vikao mbalimbali kujadili suala hilo ikiwemo Baraza Maalum kujadili kuhamishwa kwa wakazi wa Kata ya Nyatwali.

Akimalizia kujibu hoja, Katibu Tawala amewataka Waheshimiwa Madiwani kufika Ofisini kwake kueleza jambo lolote linalohitaji utatuzi wa haraka kuliko kusubiri Vikao.


#kaziiendeleee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda