• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BONANZA LA KUHAMASISHA SENSA KIBARA TAREHE 14.08.2022

Posted on: August 15th, 2022

Leo Jumapili limefanyika Bonanza Kubwa la michezo lenye lengo la kuelimisha na Kuhamasisha SENSA kwa Wananchi wa Kata ya Kibara na maeneo jirani.

Mgeni rasmi katika bonanza hilo Mheshimiwa Joshua Nassari Mkuu wa Wilaya ya Bunda ametoa rai kwa  Wananchi wote wa Bunda kujiandaa kuhesabiwa ifikapo tarehe 23.08.2022.

Mheshimiwa Nassari ameongeza kusema kuwa "Sensa ya mwaka 2012 takwimu zinaonesha kuwa Bunda tulifanya vizuri sana hivyo Mwaka huu tujiandae kufanya vizuri zaidi" Aidha amewaasa Wananchi kutoa Taarifa sahihi kwa makarani pindi watakapofika kukusanya taarifa katika nyumba zao.

Naye Diwani wa Kata ya Kibara Mheshimiwa Mtamwega Mgayiwa, amesema zoezi hili la Sensa halina Chama sio la Chadema wala CCM ni zoezi la Kitaifa hivyo Wananchi wote mjitokeze kwa wingi kuhesabiwa ifikapo tarehe 23.08.2022. Mheshimiwa Diwani ameongeza kusema kuwa linapokuja suala la Kitaifa Wananchi wote tunapaswa kuungana na kuwa kitu kimoja.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda ambae pia ni Afisa Maendeleo Bwana Noel Shamazugu amewashukuru na kuwapongeza wakazi wa Kibara kwa kujitokeza kwa wingi katika bonanza na kuwaomba kujitokeza kwa wingi siku ya kuhesabiwa.

Awali Kijana mzalendo alieandaa zoezi hili ambae ni Mwenyekiti wa Vyama vya siasa Mkoa wa Mara na Tanzania kwa ujumla Ndugu Godwin Misana amesema wameandaa Bonanza hilo kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda mahususi kabisa kufikisha Elimu ya Sensa kwa Wananchi wa Kata ya Kibara Ili kuwaweka tayari kuhesabiwa itakapofika tarehe 23.08.2022.

Aidha amewaomba Vijana wenzake wa Kata ya Kibara kuhakikisha wanaunga Mkongo juhudi zinazofanywa na Serikali katika kuleta Maendeleo ya kweli katika Kata yao na Taifa kwa ujumla.

Mwisho Viongozi wa Serikali ya mtaa pamoja na Wananchi wa Kibara wamefurahishwa na ujio wa bonanza hilo na wamesema kuwa wapo tayari kuhesabiwa.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda