• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC BUNDA AKABIDHI CHAKULA KWA WAHANGA WA MAFURIKO NYATWALI

Posted on: May 4th, 2024

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda kwa kushirikiana na Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini imetoa msaada wa chakula (mahindi) kwa wahanga wa mafuriko katika Kata ya Nyatwali zaidi ya magunia 24 ili kuwapunguzia wananchi makali ya athari za mafuriko.

Akizungumza kabla ya kukabidhi chakula hicho, Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vicent Anney amewapa pole wakazi wa Nyatwali waliokumbwa na janga hilo na amesema Serikali inatambua matatizo yanayowakabili wananyatwali na ndio maana inafanya jitihada kuona namna gani itaweza kuwasaidia wananchi wake.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amesema, kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika Maeneo mbalimbali ya Nchi, mafuriko yametokea sehemu nyingi sana ndani ya Tanzania ikiwemo kata Nyatwali lakini pamoja na hayo Serikali haijawaacha wananchi wake kuhakikisha wanakua salama.

Akijibu swali la wananchi kuomba Serikali kuharakisha zoezi la kuwahamisha katika eneo hilo, Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amesema Serikali ipo katika hatua ya mwisho kukamilisha fidia za kuhama na pindi utaratibu utakapokamilika basi itawahamisha mara moja.

Kwa upande wake Katibu wa Mbunge Bwn. Emmanuel ametoa salamu za pole kutoka kwa Mheshimiwa Maboto na kusema kuwa Mheshimiwa Mbunge anatambua hali wanayopitia wahanga wa mafuriko hayo ikiwa ni pamoja na kuharibikiwa kwa chakula na mazao yao na ndio maana ameguswa kuchangia chakula japo kwa Uchache ili kiweze kuwasaidia wananchi wake.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bi. Adelina Mfikwa amesema Halmashauri inaendelea kufanya tathimini ya janga hilo kupata idadi kamili ya wahanga ili iweze kutoa huduma ya makavelo yatakayoweza kuwasaidia kujistili kwa muda lakini pia Bi. Mfikwa amesema Halmashauri itatafuta chakula na kuwasilisha kwa wahanga kadri kitakapopatikana.

Hadi kufikia sasa takwimu zinaonesha zaidi ya kaya 160 zimeathiriwa na mafuriko katika Kata ya Nyatwali.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda