• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

FUTURU NA MAMA SAMIA KATIKA WILAYA YA BUNDA

Posted on: March 30th, 2024

Ni jioni tulivu katika anga za Wilaya ya Bunda ndani ya mwezi Mtukufu wa Ramadhan, Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vicent Anney akiwakusanya wananchi wa Imani tofauti katika Ukumbi wa Heriet kupata futari safi kabisa ikienda kwa jina la Futuru na Mama Samia huku sauti za kaswida zikisikika katika spika za ukumbi huo.

Mgeni rasmi katika futari hiyo ni Mheshimiwa Said Mtanda Mkuu wa Mkoa wa Mara kabla ya kuhamishwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.

Katika futari hiyo, Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa alipokua akiongea na wananchi alisema lengo kuu la futari hiyo ni kuwafikia wasiokua na uwezo wa kupata futari, lakini pia kujenga mahusiano mazuri baina ya Viongozi na wananchi, Umoja Upendo na Ushirikiano.

Katika sura nyingine, Mheshimiwa Mtanda aliwaambia wananchi kuendelea kumuombea Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uongozi wake, kumpa ushirikiano na kumuunga mkono kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuleta Maendeleo Nchini na pia kuendelea kuondoa dhana potofu ya kwamba mwanamke hawezi kuwa Kiongozi.

Awali wakati akimkaribisha Shekh wa Wilaya ya Bunda, Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vicent Anney alimhakikishia Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa kwamba hali ya Usalama Bunda ni tulivu licha ya changamoto ndogo ndogo za hapa na pale zote zinaendelea kushughulikiwa na kuwekwa sawa. Aidha Dokta Anney amesema anajifunza mambo mengi sana kutoka kwa Viongozi wa dini pamoja na wananchi kwa ujumla kutokana na kushirikiana nao.

Naye Shekh wa Wilaya ya Bunda Shekh Abuubakar Bin Ally, aliushukuru Uongozi wa Wilaya kwa kuandaa futari hiyo na kuongeza kusema kuwa futari hiyo imetoa funzo kwa Jamii kwamba tuchukuliane kwa kujaliana bila kujali dini, makabila wala itikadi za Vyama na ndivyo vitabu vitakatifu vya dini vinaagiza.


Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda