• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HAFLA YA KUPONGEZANA KWA MATOKEO MAZURI YA KIDATO CHA SITA BUNDA SEKONDARI

Posted on: October 1st, 2023

Usiku wa Ijumaa tarehe 29.09.2023 ulikua usiku murua kabisa na wenye furaha Watumishi wa shule ya sekondari Bunda ambapo iliandaliwa hafla mahususi ya kutambua jitihada, kupongezana na kupeana zawadi kwa juhudi kubwa wanazozifanya katika kuwafundisha wanafunzi na kufanya vizuri katika mtihani wa kidato cha sita mwaka 2023.

Mgeni rasmi katika hafla hiyo Ndg. Salum Mtelela Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda hakusita kutoa pongezi zake kwa Watumishi wote wa shule ya Sekondari Bunda kwa kazi nzuri wanayoifanya kwa kuweza kuendeleza ufaulu mzuri kwa miaka mitatu mfululizo.

Katibu Tawala amewataka walimu kuendeleza nguvu na jutihada ili wazidi kufanya vizuri zaidi na kuendelea kuitangaza Halmashauri ya Mji wa Bunda na Wilaya ya Bunda kwa ujumla.

Aidha, Katibu Tawala ametoa ahadi ya zawadi toka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kiasi cha Shilingi laki nne na na Tisini na pia amewaahidi kuwapeleka katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kwemda kutalii na kuburudika kama alivyofanya kwa shule ya sekondari Sazira.

Awali Mkuu wa shule ya Sekondari Bunda Mwl. Charles Somba alisoma mafanikio makubwa ambayo shule imeweza kuyapata kwa takribani miaka mitatu mtawaliwa kama ifuatavyo:

Mwaka 2021 jumla ya wanafunzi waliofanya mtihami walikua 88 kati yao 73 walipata daraja la kwanza na 15 walipata daraja la pili shule ikashika nafasi ya pili Kimkoa na 21 Kitaifa.

Mwaka 2022 waliofanya mtihani walikua 115 kati yao waliopata daraja la kwanza ni 104, wanafunzi 10 daraja la pili na mmoja pekee alipata daraja la 3. Shule ilishika nafasi ya pili kimkoa na nafasi ya 15 Kitaifa.

Mwaka huu 2023 wanafunzi waliofanya mtihani walikua 126 kati yao wanafunzi 121 walipata daraja la kwanza, wanafunzi 4 walipata daraja la pili na mwanafunzi mmoja pekee alipata daraja la tatu. Shule ilifanikiwa kushika nafasi ya kwanza Kimkoa na ya 19 Kitaifa.

Mwalimu Somba aliwashukuru wadau mbalimbali waliojitokeza kuwapongeza ikiwamo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, wadau wa Elimu kama Ndg. Alphayo Kidata, Ndg. Juma Makongoro na kuchimbiwa kisima cha maji safi kutoka Kanisa la AICT Dayosis ya Mara na Ukerewe chenye thamani ya shilingi milioni 30.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda