• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA HALMASHAURI KUU CCM WILAYA YA BUNDA YAPONGEZA UTEKELEZAJI MIRADI HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA NA TAASISI ZAKE

Posted on: May 20th, 2024

Katika Kikao Cha Majumuisho ya ziara ya Siku Tatu ya Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bunda chini ya Mwenyekiti Ndg. Mayaya Abraham Magese, Halmashauri ya Mji wa Bunda pamoja na Taasisi zinazofanya kazi ndani ya Halmashauri zimepongezwa kwa Utekelezaji na Usimamizi mzuri wa fedha za Miradi ya Wananchi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa.

Aidha Kamati imeelekeza Watendaji wa Kata kushiriki katika Baraza la Madiwani ili kuwajengea uwezo wa nini kinachohitajika wakiwa kama sehemu ya wanaoandaa taarifa hizo lakini pia kusikia na kupokea maazimio yanayotolewa.

Mbali na pongezi hizo, Kamati ya Siasa imetoa ushauri na maelekezo kwa baadhi ya Miradi iliyokaguliwa kama inavyoonekana hapo chini;

Choo Cha wanafunzi S/M Chiringe maji yafikishwe pamoja na umeme, lakini pia Halmashauri ikakague jengo linalohitaji marekebisho katika shule hiyo.

Barabara ya BDDH Nyamakokoto mradi ukamilike haraka, vitafutwe vyanzo vingine vya mapato ili fedha itumike kujenga mitaro kwaajili ya kuimarisha Barabara.

Mradi wa Maji Manyamanyama Mugaja Wananchi na Taasisi zinazonguka mradi wasambaziwe maji kwa haraka.

Ujenzi wa Ofisi ya Mtaa wa Bitaraguru Halmashauri itafute fedha za umaliziaji wa jengo hilo.

Zahanati ya Mine ikamilishwe mapema, Changamoto ya Barabara na Umeme itatuliwe mapema katika eneo hilo.

Ukamilishaji wa Darasa shule ya Msingi Mcharo, Kamati imepongeza kwa usimamizi mzuri wa fedha za Mradi.

Msitu unaozunguka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya wajumbe wameridhia kutunzwa ili uwe msitu tengefu

Ujenzi wa Nyumba ya Mkurugenzi zipatikane fedha za ukamilishaji wa Maeneo yote yaliyobaki.


Mradi wa Maji Kinyambwiga Guta ukabidhiwe kwa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Bunda kumalizia kupitia fedha zilizoombwa na RUWASA.


Mradi wa Sekondari ya kata ya Bunda Mjini Mradi utunzwe, Matokeo yanafanane na uzuri wa shule, Mazingira yatunzwe kwa kupanda miti na maua ya kutosha.


Mwisho, Serikali kupitia Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya Dkt. Vicent Anney amepokea maelekezo hayo na kuahidi kuyafanyia kazi kwa wakati.


20.05.2024

#kaziiendelee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda