• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KILO 1000 ZA UNGA ZAKABIDHIWA KWA WAHANGA WA MAFURIKO NYATWALI

Posted on: May 9th, 2020

OFISI ya Mkurugenzi Halmashauri ya Mji wa Bunda, imekabidhi kilogramu Elfu moja (1000) za unga wa mahindi kwa kaya zilizokumbwa na maafa ya mafuriko kata ya Nyatwali. Akikabidhi mifuko hiyo ya Unga Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, Mheshimiwa Mayaya Magesse ametoa pole kwa familia zote zilizopata maafa ya mafuriko na kuwapongeza wadau wote wanaojitokeza kutoa misaada kwa wahanga. Amesema, Serikali ipo pamoja nanyi katika kipindi hiki kigumu cha mpito.  Aidha ametoa wito kwa wadau wote wanaotoa misaada kutoingiza itikadi za vyama vya siasa badala yake walenge kuwasaidia wahanga hao.

Awali, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bi. Janeth Mayanja amesema kuwa misaada inayokuja itumike kwa malengo yaliyokusudiwa. Kamati inayohusika na ugawaji, ihakikishe walengwa wote wananufaika na misaada hiyo na sio kufanya udhalimu wa aina yoyote.

Hata ivyo ametoa wito kwa wakazi wote wanaoishi katika maeneo hatarishi ya mafuriko, kuondoka haraka katika maeneo hayo kwasababu majanga haya ya mafuriko huwa yanajirudia, leo tumepata athari ya kupoteza mali kesho keshokutwa athari inaweza kuwa kubwa zaidi hata kupoteza uhai.

Pia amewakumbusha wananchi kuendelea kujikinga na Ugonjwa wa homa ya mapafu COVID – 19 kwa kufuata tahadhari zote zinazotolewa na wataalamu wa Afya. Hayo yote yamefanyika katika Ofisi ya Kata ya Nyatwali ambayo ndio kituo cha ugawaji wa misaada kwa wahanga hao wa mafuriko.

Jumla ya nyumba 178 zimebomoka, 133 zimeingiliwa maji na mashamba takribani 188 yameharibiwa na maji. 


Imeandaliwa na Kitengo cha Habari na Mahusiano

Halmashauri ya Mji wa Bunda.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda