• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MADIWANI 19 WA HALMASHURI YA MJI WA BUNDA WAAPISHWA RASMI

Posted on: December 15th, 2020

LEO tarehe 15/12/2020, Jumla ya waheshimiwa madiwani 19 wa Halmashauri ya Mji wa Bunda wametoa kiapo chao cha kuidhinishwa Udiwani na kiapo cha uadilifu wa Umma mbele ya Mheshimiwa hakimu Husna Msangi wa Mahakama ya mwanzo na mbele ya Afisa wa Tume ya Maadili ya Mkoa wa Mara.

Baada ya kiapo hicho, Waheshimiwa Madiwa walipewa rasmi mamlaka ya kuwatumikia wananchi katika kata zao ikiwa ni pamoja na kusimamia miradi ya maendeleo na kutatua kero zilizopo katika maeneo yao. Hata hivyo waheshimiwa madiwani walipewa nafasi ya kufanya Uchaguzi ambapo Ndugu Kweka M. Thomas, diwani wa kata ya Sazira amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda na Ndugu Mathayo Juma diwani wa Kata ya Manyamanyama kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo.

Akiongea katika kikao hicho, Mkuu wa Wilaya ya Bunda Bi. Lydia Simion Bupilili amewapongeza sana waheshimiwa madiwani kwa ushindi mkubwa walioupata katika Uchaguzi na kuwaomba kushirikiana vyema na Wataalamu wa Halmashuri kuhakikisha shughuli zote za maendeleo zinatekelezwa ipasavyo. Pia amewaomba waheshimiwa madiwani kuainisha mitaa yao kwa kuweka vibao vinavyoonesha majina ya mitaa hiyo.

Awali, Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda ambae alikua mwenyekiti wa muda wa kikao hicho kabla ya kuchaguliwa Mwenyekiti wa Madiwani, Mheshimiwa Salum Halifan Mtellela amewaomba na kuwasisitiza waheshimiwa Madiwa kuhakikisha maendeleo yanapatika katika Halmashauri ya Mji wa Bunda na kusema kuwa maendeleo haya yatapatikana ikiwa mtafanya kazi kwa kushirikiana na wataalamu. Ameongeza pia, kazi kubwa iliyopo mbele kwa sasa ni kuhakikisha maboma ya madarasa yanakamilika, madawati yanapatikana na mwezi January, 2021 wanafunzi waingie shuleni.

Nae ndugu Method Nkoba, Mkuu wa Serikali za mitaa Mkoa wa Mara, amewasisitiza sana waheshimiwa Madiwani kuhakikisha shughuli zote za msingi zinafanyika maeneo yao ikiwa ni pamoja na kusimamia na kuhakikisha vikao vyote vya mitaa vinafanyika na kuandika Mihtasari ya vikao hivyo.

Mwisho, Mkurugenzi wa Halmashuri ya Mji wa Bunda ambae ndie Katibu wa baraza la madiwani Bi. Janeth Mayanja, aliwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kwa kipindi cha mwezi wa 7 mwaka 2020 lilipovunjwa baraza la madiwani hadi kufikia sasa. Waheshimiwa madiwani waliipokea taarifa hiyo na kuelewesheshwa pale walipohitaji kueleweshwa.

Halmashauri ya Mji wa Bunda inajumla ya Madiwani 14 waliochaguliwa kulingana na idadi ya kata na madiwani watano wa Viti Maalumu. Jumla wanakuwa madiwani 19 katika baraza la madiwani la Halmashauri ya Mji wa Bunda.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda