• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MBUNGE MABOTO ATEMBELEA SHULE MPYA YA SEKONDARI YA KATA YA BUNDA MJINI NA KUONGEA NA WANANCHI

Posted on: April 3rd, 2024

Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Mheshimiwa Chacha Robert Maboto leo ametembelea na kukagua shule mpya ya Sekondari ya kata ya Bunda Mjini. Mheshimiwa Maboto ameishukuru Serikali ya Awamu ya sita kwa kuleta fedha kwaajili ya ujenzi wa Sekondari hiyo kutokana na maombi aliyoyafikisha Kata ya Bunda Mjini pekee ndio ilikua imebaki Haina shule ya Sekondari.

Akizungumza na wananchi, Mheshimiwa Maboto amesema licha ya Kata ya Bunda Mjini kukosa eneo la kujenga shule, ameishukuru Kata ya Bunda stoo kwa kukubali kutoa eneo katika Kata yao na kuwapatia Kata ya Bunda Mjini kujenga Sekondari hiyo.

Aidha kupitia Mkutano huo, Mheshimiwa Maboto ameahidi kutoa mashine mbili kubwa za kudurufu mitihani (Photocopy mashine) ambazo atazikabidhi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda ili shule zote zipate fursa ya kuweza kudurufu mitihani yao bure na kufanikisha malengo ya kutoa Elimu Bora kwa wanafunzi kwa kupata mazoezi ya kutosha katika mitihani yao.

Mbali na hayo, Mheshimiwa Maboto amesema Bado Serikali inaendelea kuleta fedha za kutosha kwaajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo hasa sekta ya Elimu na Afya.

Naye Diwani wa Kata ya Bunda Mjini Mheshimiwa Mzamil Kiwanila, ameishukuru Serikali pomoja na jitihada za Mbunge Mheshimiwa Robert Chacha Maboto kwa kuwezesha Kata ya Bunda Mjini kupewa fedha kiashi Cha shilingi milioni 584 kwaajili ya ujenzi wa Sekondari na kusema itanufaisha watoto wote wa Bunda.

Awali Viongozi wa Chama na Serikali, akiwemo Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Bunda, Mwenyekiti wa UVCCM na Katibu wake wa Wilaya ya Bunda, Waheshimiwa Madiwani pamoja na Afisa Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Mji wa Bunda wametoa neno la shukrani kwa Mheshimiwa Mbunge kwa kazi nzuri anayoifanya ya kufikisha Bungeni shida na kero za wananchi, kuzipambania na kuhakikisha zinafanyiwa kazi.

Mwisho, Viongozi wote wamemshukuru Mbunge kwa jinsi anavyowagusa wananchi wake kwa kuwawezesha kiuchumi kama vile madereva Bajaji na bodaboda pamoja na makundi mbalimbali ya wajasiliamali wadogo ndani ya Jimbo la Bunda Mjini.


#kaziiendeleee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda