• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MFUKO WA JIMBO WANUFAISHA SHULE ZA MSINGI KWA MADAWATI

Posted on: May 5th, 2023

Zaidi ya shilingi milioni 58 za mfuko wa jimbo la Bunda mjini kwa Mwaka wa fedha 2022/2023 zimetumika kutengeneza madawati 1049 ya shule za Msingi ili kukabiliana na upungufu wa madawati uliopo sasa.

Mheshimiwa Robert C. Maboto Mbunge wa jimbo kwa Bunda mjini amesema kupitia Kamati ya mfuko wa jimbo na Baraza la Halmashauri kwa pamoja waliamua fedha zote za mfuko wa jimbo kwa Mwaka huu kutumika kutengeneza madawati kutokana na changamoto hiyo kuwa kubwa.

Aidha, Mheshimiwa Maboto amemshukuru Mheshimiwa Rais  Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuleta fedha za mfuko wa jimbo ambazo zinatumika kuleta maendeleo katika jimbo la Bunda mjini pia amelishukuru Baraza la Halmashauri ya Mji wa Bunda pamoja na watalamu wakiongozwa na Mkurugenzi kwa kumkubalia kuzielekeza fedha hizo katika kutengeneza madawati.

Mheshimiwa Maboto amesema yapo baadhi ya majimbo hayanufaiki na Fedha za mfuko wa jimbo na wala wananchi wake hawajui zinakokwenda na hakuna wa kuhoji, lakini kwa upande wake amesema jambo hili ni tofauti kwani Fedha zote za mfuko wa jimbo zinawekwa mezani na kupangiwa matumizi kadili ya mahitaji mbalimbali ndani ya jimbo.

Maboto amesema kama tutaenda kwa mwendo huu, tutaona tofauti kubwa sana katika jimbo letu la Bunda Mjini. Miradi itaonekana na thamani ya Fedha inayoletwa na Serikali itaonekana.

Aidha,  Mheshimiwa Michael Kweka Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kwaniaba ya Halmashauri kwa ujumla amemshukuru Mheshimiwa Mbunge kwa kukubali pendekezo la matumizi  ya fedha hiyo kutengeneza madawati. Mwenyekiti  amesema Mheshimiwa Maboto anaonesha mfano mzuri wa kuwajali wananchi wake kwa vitendo.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Emmanuel Mkongo amesema Halmashauri kupitia mapato ya ndani imejipanga pia kutengeneza madawati mengine ya shule ya Msingi kwa Mwaka ujao ili kuendelea kupunguza upungufu wa madawati. Aidha, ametumia fursa hiyo kuwajulisha wananchi kwamba Serikali imeleta fedha zaidi shilingi Bilioni moja kupitia mradi wa BOOST  kwaajili ya Ujenzi wa shule za msingi mbili mpya, Ujenzi wa madarasa 16 na matundu ya vyoo 24 katika shule za Msingi. Mwisho amewaomba wananchi kulinda mali za Serikali kwa faida ya vizazi vyao.


#kaziiendelee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI AMREF BUNDA MJI September 26, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KWA KADA YA MTENDAJI WA MTAA September 23, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 18, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUKUSANYA MAPATO June 09, 2023
  • Soma yote

Habari mpya

  • MKURUGENZI MKONGO AKAGUA MIRADI YA BOOST HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

    August 26, 2023
  • MKURUGENZI MKONGO AKAGUA MIRADI YA BOOST HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

    August 26, 2023
  • JUMLA YA MIRADI 39 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 37.08 IMETEMBELEWA NA KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA

    August 24, 2023
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

    August 23, 2023
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda