• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA ATEMBELEA UJENZI WA SHULE SITA MPYA ZA SEKONDARI NDANI YA HALMASHAURI YA MJI BUNDA

Posted on: January 5th, 2021

Kwa takribani wiki moja na siku kadhaa kuanzia tarehe 28/12/2020 hadi tarehe 05/01/2021, Mheshimiwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bi. Janeth P. Mayanja amefanya ziara ya kutembelea na kuhamasisha maendeleo ya ujenzi wa shule sita mpya za sekondari zinazojengwa kwa nguvu ya wananchi katika kata za Bunda stoo, Mcharo, Nyamakokoto, Manyamanyama na Nyatwali.

Mheshimiwa Mkurugenzi ameonesha kuridhishwa na ujenzi unaoendelea katika shule hizo na kuzipongeza kamati za ujenzi kwa usimamizi mzuri wa michango ya wanachi katika ujenzi huo. Amesema “Mwananchi akiona michango anayotoa inafanya kazi iliyokusudiwa anakuwa na moyo wa kuendelea kushiriki katika michango na shughuli mbalimbali za mandeleo katika kata yake”.

Aidha ametoa wito kwa watendaji wa kata kutoa taarifa za mapato na matumizi kwa wananchi kila mara inapoitajika ili waweze kujua ni jinsi gani michango yao inafanya kazi.

Kutokana maendeleo ya ujenzi wa Sekondari hizo, Mkurugenzi amesema jumla ya shule nne kati ya sita zinazojengwa zitasajiliwa na kufunguliwa mwezi Januari, 2021 ili kukidhi mahitaji ya watoto waliofaulu na kukosa nafasi katika shule zilizopo. Shule zitakazo funguliwa Januari hii ni shule inayojengwa Kata ya Mcharo, Kata ya Nyatwali na shule mbili ambazo zipo kata ya Bunda stoo, moja ikiwa mtaa wa Idara ya Maji na nyingine ikiwa Mtaa wa Migungani. Tayali hatua za usajili zimeshaanza kuchukuliwa.

Halmashauri ya Mji wa Bunda haikuwa mbali kushiriki katika ujenzi huo, Mheshimiwa Mkurugenzi alieleza michango iliyotolewa na Ofisi katika shule hizo ikiwa ni pamoja na kukamilisha ujenzi wa vyoo vyote kwa sekondari zinazojengwa.

Wawakilishi wa wananchi wa Kata, Waheshimwa madiwani akiwepo Mh. Flaviani Nyamageko Diwani wa kata ya Bunda Stoo, Mheshimiwa Mhigi Samson Sharya Diwani wa kata ya Mcharo, Mheshimiwa Juma Mathayo Machiru Diwani wa kata ya Manyamanyama, Mheshimiwa Emmanuel Machumu Maligwa Diwani wa Kata ya Nyamakokoto na Mheshimiwa Malongo Mashimo Diwani wa Kata ya Nyatwali, Wamempongeza Mkurugenzi kwa kazi kubwa anayoifanya katika kata zao kuhakikisha shule hizi zinakamilika na kumuahidi ukamilishaji wa ujenzi huo kwa wakati. Aidha waheshimiwa Madiwani wamewahakikishia wananchi wao kwamba kuanzia sasa hakuna udanganyifu wala pesa yoyote ile wanayochanga kupotea. Wamesema pia wapo tayali kushirikiana na serikali katika kuleta maendeleo ya kata kwa ujumla.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda