• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUTANO WA BARAZA LA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA ROBO YA NNE 2022/23

Posted on: September 5th, 2023

Leo umefanyika Mkutano wa Baraza la Halmashauri chini ya Mwenyekiti wa Baraza Mheshimiwa Michael Kweka. Mkutano ulianza kwa maswali ya papo kwa papo ambapo Mwenyekiti alitoa nafasi kwa waheshimiwa Madiwani kuuliza maswali mbalimbali ili kupata ufafanuzi na kujibiwa na Mkurugenzi Bwn. Emmanuel Mkongo.

Kupitia Mkutano huo, Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya Dkt. Vicent Anney alipata fursa ya kuhutubia Baraza ambapo alianza kwa kutoa pongezi kwa Halmashauri kwa usimamizi mzuri wa miradi lakini pia alitoa msisitizo katika mambo mbalimbali ikiwemo utatuzi wa migogoro ya wananchi hasa migogoro ya ardhi na kuitaka mamlaka husika kuanzia ngazi ya mtaa kushughulikia migogoro hiyo. Pia baraza kuwa makini katika ununuzi wa vifaa na kuongeza nguvu ya ukusanyaji wa mapato kwani kumekuwa na utoroshaji mkubwa wa mapato hasa kwa mabasi yanayobeba abiria na mizigo.

Aidha mkuu wa wilaya aliendelea kwa kusisitiza usafi wa mazingira na kuzitaka idara husika na TARURA kuwa makini katika kuzingatia usafi wa mitaro inayopitisha maji. Pia ofisi ya mazingira kuhakikisha wamiliki wa maduka na baa wanakuwa na dustbin za kutunzia taka za aina mbalimbali ili kutenganisha aina za taka, na kwa wale wote watakaoenda kinyume watozwe faini.

Mkuu wa wilaya alimalizia kwa kuwataka Madiwani kusimamia nidhamu ya watumishi hasa watendaji wa ngazi za chini mitaa na kata kwani hawakai katika vituo vyao vya kazi. Na kuwasihi kuheshimu muda wa kazi.

Baraza lilitoa pongezi kwa Mhandisi Baraka kwa kuhakikisha miradi ya utengenezaji wa barabara inakwenda vizuri na kumsihi kuendelea kusimamia miradi iende vizuri zaidi.

Mwenyekiti wa baraza alimalizia kwa kuwaomba wajumbe wote kuendelea kushikamana, kuchapa kazi na kumshukuru Mheshimiwa Rais Dokta Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha Halmashauri ya Mji wa Bunda inaendelea kufanya vizuri katika kuwatumikia wananchi.


#kaziiendelee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda