• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA ROBO YA KWANZA 2022/2023

Posted on: November 17th, 2022

Leo Baraza la Halmashauri ya Mji wa Bunda limefanya Mkutano wa wazi robo ya kwanza kueleza shughuli zilizofanywa katika kipindi Cha robo ya kwanza 2022/2023 chini ya Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Michael Kweka.

Taarifa ya utekelezaji robo ya kwanza kutoka TARURA na BUWSSA ziliwasilishwa katika Baraza Hilo.

Kupitia maswali ya papo kwa papo kuhusu ujenzi wa stendi, Baraza limeeleza kuwa kupitia Mradi wa TACTIC taarifa zinaonesha kuwa mradi huo utaanza mwishoni mwa Mwaka huu kwa kutambulisha mradi na kuwajengea uwezo Wananchi.

Baraza limeeleza pia kuhusu mchakato wa kutwaa eneo la Nyatwali kwa manufaa ya Umma na Hifadhi kwamba kupitia Baraza la Mawaziri Serikali imetoa maamuzi ya kutwaa eneo hilo na tayari hatua mbalimbali za kutoa Elimu kwa Wananchi zimeanza kuandaliwa.

Baraza pia kupitia Meneja wa TARURA Eng. Baraka limeeleza kuwa zoezi la kutengeneza Barabara zilizomo kwenye mpango wa bajeti hii unaendelea na kwa Barabara ambazo hazipo kwenye mpango zitapewa kipaumbele katika bajeti ijayo.

Kuhusu udhibiti wa upoteaji wa Mapato, Baraza limeeleza kwamba saivi Kuna timu Maalumu ambayo imeundwa kusimamia na kuchunguza upotevu wa Mapato hasa ya vifusi vya madini Kata ya Kabasa.

Katika Sekta ya Elimu Baraza limeeleza kuwa saivi Serikali inatekeleza Miradi mikubwa ya kujenga madarasa yatakayopokea wanafunzi wa kidato Cha kwanza 2023 na kwa upande wa maboma hasa yaliyojengwa kwa nguvu za Wananchi, Halmashauri ilishafanya tathimini na kutumia taarifa Wizarani kwaajili ya kutengewa fedha ya umaliziaji.

Aidha Baraza limeendelea kuwaondoa hofu Wananchi wote walioathiriwa na wanyamapori waharibifu na ambao fedha zao zilikuja mara ya kwanza na kurudi kuwa Halmashauri inafatilia jambo Hilo kwa ukaribu Wizarani na pindi litakapokamilika Wananchi hao watalipwa fidia zao.

Kwa upande mwingine, Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kupitia Katibu Tawala wa Wilaya Bw. Salum Mtelela  imesisitiza Umoja na Mshikamano miongoni mwa Waheshimiwa Madiwani pamoja na Watendaji. Aidha Katibu Tawala amewakumbusha Waheshimiwa Madiwani kuendelea kusimamia kwa ukaribu Miradi ya ujenzi wa Madarasa inayoendelea sasa.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA ANUANI ZA MAKAZI March 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 25, 2018
  • HABARI NJEMA KWA WANABUNDA WOTE NA WALIO NJE YA BUNDA. May 08, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2020
  • Soma yote

Habari mpya

  • SHULE BORA KUIMARISHA USHIRIKIANO BAINA YA WAZAZI NA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI BUNDA MJINI (UWAWA)

    March 09, 2023
  • BARAZA LA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA LIMEPITISHA BAJETI YA TSH. BILIONI 32.9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    March 09, 2023
  • MKUTANO WA BARAZA LA HALMASHAURI KUELEZA SHUGHULI ZA UTEKELEZAJI ROBO YA PILI 2022/2023

    March 02, 2023
  • SHILINGI BILIONI 4.7 ZATENGWA NA TARURA KUTENGENEZA BARABARA NDANI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

    February 10, 2023
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda