• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUTANO WA MWAKA WA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA 2022/2023

Posted on: September 6th, 2023

Mheshimiwa Michael Kweka Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda ameongoza Mkutano wa Mwaka wa Halmashauri ya Mji wa Bunda ambapo wajumbe wa Baraza, wageni waalikwa pamoja na wananchi waliojitokeza wamepata fursa ya kujua masuala mbalimbali ya maendeleo ambayo Halmashauri ya Mji wa Bunda imefanya kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023.

Wajumbe wa Mkutano walipata wasaa wa kutoa maoni katika nyanja mbalimbali zinazogusa Halmashauri hasa katika usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo.

Waheshimiwa Madiwani wamesema ni lazima Baraza na Wataalam wa Halmashauri wote kwa pamoja kushirikiana kusimamia miradi ili kuepusha sintofahsmu zinazoweza kujitokeza katika utekelezaji wa miradi hiyo kwa kuzingatia maelekezo na miongozo inayotolewa.

Aidha, wajumbe wameshauri Kamati za ujenzi kupewa elimu ya uelewa wa mambo wanayotakiwa kuzingatiwa wakati wa kusimamia miradi hususani masuala ya manunuzi. Zaidi wajumbe wameshauri kuweka vigezo vya ubora wa ujenzi vinavyotakiwa kufuatwa katika miradi yote ya Halmashauri ya Mji wa Bunda.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bw. Emmanuel Mkongo amekili kupokea maoni na ushauri uliotolewa na wajumbe wa Mkutano na pia alitoa ufafanuzi kwa baadhi ya mambo yaliyohitaji ufafanuzi likiwemo suala la ununuzi wa vigae katika shule mpya za msingi zinazoendelea kujengwa.

Jambo lingine kubwa na la muhimu lililofanyika ni Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri na Wenyeviti wa Kamati za kudumu za Baraza la Halmashauri.

Makamu Mwenyekiti aliyechaguliwa ni Mheshimiwa Marongo Mashimo Diwani wa Kata ya Nyatwali

Matokeo ya Uchaguzi wa Wenyeviti wa Kamati yalikuwa kama ifuatavyo:

Kamati ya Huduma za Jamii-Uchumi, Elimu na Afya amechaguliwa Mhe. Emmanuel Malibwa Diwani wa Kata ya Nyamakokoto.

Kamati ya Mipangomiji na Mazingira amechaguliwa - Mheshimiwa Mzamil Kilwanila Diwani wa Kata ya Bunda Mjini

Kamati ya Maadili amechaguliwa - Mheshimiwa Mhigi Samson Shalya Diwani wa Kata ya Mcharo

Wajumbe wawili walioteuliwa Mheshimiwa Mohonda Nyahimo (Diwani wa Kata ya Kabarimu) na Mheshimiwa Edina Machibya Diwani viti maalum.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda