• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MWANAFUNZI ALIEKUTWA AKIJISOMEA KWA TAA ZA BARABARANI ATEMBELEWA, DC. DKT. ANNEY

Posted on: May 23rd, 2024

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vicent Anney amemtembelea shuleni mwanafunzi aliemkuta akijisomea barabarani usiku huku akitumia mwanga wa Taa za barabarani wakati huo huo akiuza karanga.

"Juzi nilipokua napita kwa mguu mitaani majira ya saa mbili na nusu usiku kuangalia nini kinaendelea mjini. Tangu kuwekwa kwa taa za barabarani kumefanya wananchi wengi kuwa wajasiliamali, wanauza mihogo, mahindi ya kuchoma, samaki wa kung'aa na mboga mboga kwa kutumia taa za barabarani lakini nikakuta mwanafunzi ambae nae alikua anauza karanga na huku akijisomea kwa kutumia taa za barabarani." DC. Anney

Mkuu wa Wilaya amesema jambo hilo lilimtafakarisha kiasi Cha kuamua kumtafuta kujua ni kwanini anajisomea barabarani. Mbali na kumtembelea Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amempatia Zawadi mtoto huyo zawadi ya madaftari, begi la shule pamoja na kalamu za kuandikia ili kumpa motisha ya kuendelea kusoma na kutimiza malengo yake.

Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amemlipia mwanafunzi huyo chakula shuleni kwa mwaka mzima na ameahidi kukutana na wazazi wa Binti huyo ili kuona namna gani ya kuweza kumsaidia ili awese kufika mbali kwenye Elimu yake.

Kwa upande wake Furaha Hamis, mwanafunzi aliepewa zawadi na Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amemshukuru sana Dkt. Anney kwa zawadi alizompatia ambapo amesema zitamsaidia kuendelea kufanya vizuri katika masomo yake na ameeleza ndoto zake hapo baadae ni kuwa Rais.

Mbali na zawadi alizopewa mwanafunzi Furaha Hamis, Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amewapa pia wanafunzi wanaosoma nae kalamu mbili mbili ili kuwapa motisha ya kufanya vizuri zaidi katika masomo yao.

Furaha Hamis ni mwanafunzi wa kidato Cha Kwanza katika shule ya Sekondari Nyamakokoto. Anaishi na Wazazi wake ambao ni Wakulima. Furaha anaamini Elimu ndio itakayomsaidia kutimiza ndoto zake.


#kaziindelee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda