• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NAIBU WAZIRI SILINDE AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA KWA KUZINGATIA UBORA NA THAMANI YA MIRADI

Posted on: November 27th, 2022

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Mheshimiwa David Silinde (Mb) amefanya ziara ya kutembelea Miradi ya ujenzi wa Madarasa katika Halmashauri ya Mji wa Bunda ambapo amezipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kutekeleza Miradi hii kwa ubora na kuzingatia thamani ya Miradi hiyo.

Mheshimiwa Silinde ametembelea shule mpya ya Nyamakokoto inayojengwa kwa ufadhiri wa Mradi wa SEQUIP ambapo ujenzi umefikia hatua ya umaliziaji na pia ametembelea shule ya Sekondari Bunda.

Mheshimiwa Silinde amesema Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imedhamilia kuondoa odha  ya upungufu wa madarasa Nchini na Hivyo kuwafanya wanafunzi kusoma katika Mazingira mazuri.

Zaidi Naibu Waziri ameiagiza Halmashauri ya Mji wa Bunda kuhakikisha  inakamilisha maboma yaliyojengwa kwa nguvu za Wananchi katika Sekondari ya Nyamakokoto. Aidha amewahakikishia Wananchi kwamba maboma hayo yatakamilika kwani fedha Zipo.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mheshimiwa Joshua Nassari ameishukuru sana Serikali kwa kulete fedha za kutosha kwa ujenzi wa Madarasa ya Sekondari na kujenga shule mpya mbili Moja Halmashauri ya Mji na nyingine Halmashauri ya Wilaya.

Mheshimiwa Nassari amesema ujenzi wa Shule mpya ya Nyamakokoto itaenda kusaidia Kata zaidi ya Moja hapa Mjini zenye watoto wengi. Zaidi amesema Serikali ya Awamu ya Sita inaleta fedha nyingi sana za miradi jambo ambalo halijawahi kufanyika hapo nyuma.

Mheshimiwa Michael Kweka, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda ametuma salamu za pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa Miradi mingi anayoileta Bunda Mji.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bw. Emmanuel Mkongo amesema Siri ya kufanya Vizuri katika Miradi inayoletwa na Serikali Bunda Mji ni Umoja, Mshikamano na ushirikiano baina ya Watumishi pamoja na wawakilishi wa Wananchi ambao ni Waheshimiwa Madiwani kupitia baraza la Halmashauri.

Mkurugenzi ameongeza kusema kuwa tayari Ofisi imetenga zaidi ya Shilingi Milioni 20 kwaajili ya kuendelea kukamilisha ujenzi wa Shule Mpya ya Kata ya Nyamakokoto.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA ANUANI ZA MAKAZI March 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 25, 2018
  • HABARI NJEMA KWA WANABUNDA WOTE NA WALIO NJE YA BUNDA. May 08, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2020
  • Soma yote

Habari mpya

  • SHULE BORA KUIMARISHA USHIRIKIANO BAINA YA WAZAZI NA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI BUNDA MJINI (UWAWA)

    March 09, 2023
  • BARAZA LA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA LIMEPITISHA BAJETI YA TSH. BILIONI 32.9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    March 09, 2023
  • MKUTANO WA BARAZA LA HALMASHAURI KUELEZA SHUGHULI ZA UTEKELEZAJI ROBO YA PILI 2022/2023

    March 02, 2023
  • SHILINGI BILIONI 4.7 ZATENGWA NA TARURA KUTENGENEZA BARABARA NDANI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

    February 10, 2023
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda