• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC HAPI AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA KWA KUPATA HATI SAFI YA CAG KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021

Posted on: July 15th, 2022

Hayo yameelezwa wakati wa Baraza Maalumu la Halmashauri la kupitia Hoja za Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) tarehe 14.07.2022.

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally S. Hapi amewapongeza Waheshimiwa Madiwani na Wataalamu kwa kusimamia vizuri Miradi inayoletwa na Serikali katika Halmashauri ya Mji wa Bunda, Huku wakishirikiana vizuri bila migogoro ya aina yoyote.

Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ameipongeza timu ya Wataalamu ikiongozwa na Mkurugenzi Emmanuel J. Mkongo kwa kusimamia vizuri zoezi la ukusanyaji Mapato ya Halmashauri ambapo Hadi sasa Halmashauri imefikia asilimia 105 ya Mapato kwa Mwaka wa fedha 2021/2022.

Hata Hivyo Mheshimiwa Hapi, ameielekeza Halmashauri kuongeza Nguvu zaidi katika kukusanya Mapato uku wakidhibiti matumizi kwa kuhakikisha fedha inayobaki Halmashauri inaelekezwa katika Miradi ya Maendeleo kwa Wananchi.

Katika sura nyingine, Mkuu wa Mkoa amesisitiza uwajibikaji kwa Watendaji wote wa Serikali katika Idara zao, na kuwataka kufuatilia kwa ukaribu Miradi inayotekelezwa katika maeneo yao.

Mwisho ameitaka Halmashauri kuhakikisha wanafuta Hoja zote zilizobainishwa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali.

Kwa upande wake Mheshimiwa Joshua Nassari Mkuu wa Wilaya ya Bunda amemweleza Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa kwamba Halmashauri ya Mji wa Bunda inafanya kazi vizuri sana kwa ushirikiano baina ya Waheshimiwa Madiwani na Watumishi na ndio maana imefanikiwa kupata Hati safi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Mhe. Michael Kweka amemtoa hofu Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Mara juu ya Miradi yote inayoletwa katika Halmashauri ya Mji wa Bunda kwani yote inatekelezwa kwa Wakati na kiwango kinachostahili na kuongeza kuwa kama Kuna Miradi mingine basi asisite kuileta Halmashauri ya Mji wa Bunda.

Awali Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Ndg. Emmanuel J. Mkongo aliwasilisha kwa ufupi taarifa ya CAG kwa Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa kwa majadiliano zaidi.

Mwisho Viongozi mbalimbali walitoa salamu akiwemo Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Bunda na Mheshimiwa Robert Maboto Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda