• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SEMINA YA MAFUNZO YA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2020 KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA BUNDA YAZINDULIWA RASMI

Posted on: August 8th, 2020

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bi. Janeth P. Mayanja ambae ndie Mgeni Rasmi wa uzinduzi huu, amezindua rasmi semina ya Uchaguzi kwa wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata (ARO – KATA) leo tarehe 07/08/2020 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda.

Akizungumza na washiriki wa semina hiyo, Mgeni rasmi Bi Janeth P. Mayanja amesema, “Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 74 kifungu cha 6, Tume imepewa jukumu la kusimamia na kuratibu uendeshaji wa Uchaguzi wa Rais, Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Madiwani. Hata hivyo pamoja na kuwa tume ndio yenye jukumu hilo, watakao simamia uchaguzi huu katika Mikoa na Halmashauri kwa ukaribu ni nyinyi tuliowateua na watendaji wa vituo watakaoteuliwa siku za mbeleni”.

Mgeni rasmi ameongezea kwa kusema kuwa Uchaguzi ni mchakato ambao unajumuisha hatua na taratibu mbalimbali zinazofuatwa na kuzingatiwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria, Kanuni na Maelekezo ya tume. Kwa kuzingatia na kutekeleza taratibu hizo kutapunguza au kuondoa kabisa kabisa malalamiko au vurugu wakati wowote wa uchaguzi.

Aidha, amewataka wateule hao waliominiwa na Tume kusimamia Uchaguzi ngazi ya Tume kujiamini, kujitambua na kuzingatia sheria na kanuni zote zinazotolewa na Tume ili kutenda haki na kufanya kazi kwa usahihi zaidi na hivyo kupelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kuwa salama na wa Amani.

Akiwa na imani na wateule hao, Mgeni rasmi amewaomba wasimamizi kutotumia uzoefu wa kusimamia Chaguzi mbalimbali zilizopita kwani uchunguzi unaonesha kuwa mazoea hupelekea kuharibu kazi badala yake wasikilize na kufuata kwa umakini mafundisho na maelekezo watakayopewa katika semina hiyo kutoka Tume.

Awali, Afisa Uchaguzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Ndugu. Erasto Arende, aliwapongeza washiriki wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa na Tume kusimamia Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ngazi ya Kata. Kikubwa amewataka kuonesha ushirikiano wa dhati katika zoezi hili kwa Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Jimbo na wasimamizi wasaidizi ngazi ya Jimbo.

Semina hii imelenga kuwajengea uwezo wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kata ili kutekeleza vyema majukumu yao katika kipindi chote cha mchakato wa uchaguzi kuanzia sasa hadi viongozi wapya watakapopatikana. Semina itaendeshwa kwa muda wa siku tatu kuanzia leo tarehe 07/08/2020 hadi tarehe 09/08/2020.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda