• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI IMETEKELEZA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 210 KATIKA WILAYA YA BUNDA; DC ANNEY

Posted on: May 22nd, 2024

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vicent N. Anney ameeleza utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya maendeleo katika Wilaya ya Bunda yenye Thamani ya shilingi Bilioni 210 katika Majimbo yote ya Wilaya ya Bunda kwa kipindi Cha Julai Disemba 2023.

Hayo yamesemwa katika Kikao Maalum Cha Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bunda.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amesema kuwa Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bunda imetembelea Miradi 31 sawa na Asilimia 16 ya Miradi 196 iliyotekelezwa.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda amesema;-

"Halmashauri ya Mji ya Bunda imetekeleza miradi yenye Thamani ya shilingi Bilioni 6.01 katika sekta mbalimbali ya Kilimo na Mifugo, Elimu, Afya, TASAF na Maeneo mbalimbali ya kijamii."

"Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imetekeleza Miradi yenye Thamani ya shilingi Bilioni 8.12 katika sekta mbalimbali."

"TRA Bunda imekua Kinara wa ukusanyaji wa Mapato ambapo imekusanya zaidi ya Bilioni 1.8 sawa na Asilimia 137. Niwapongeze walipa Kodi wa Bunda kwa kutoa Kodi kwa weledi na kwa wakati."

"RUWASA imetekeleza miradi yenye Thamani ya Bilioni 6.11 katika Maeneo mbalimbali ya jimbo la Mwibara na Jimbo la Bunda pamoja na ujenzi wa bwawa la mifugo la mihingo."

"BUWASA imetekeleza miradi minne yenye Thamani ya shilingi Bilioni 13 katika Maeneo ya Kunzugu, Ushashi - Misisi, Manyamanyama - Mugaja, Balili - Kunzugu pamoja na Rubana."

"Serikali imetumia zaidi ya Bilioni 175 kutekeleza miradi ya umeme katika Maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Bunda."

"TARURA imetekeleza miradi yenye Thamani ya shilingi Bilioni 2.9 kwa Jimbo la Bunda Mjini na Jimbo la Bunda na Mwibara shilingi Bilioni 3.8."

"TAWA imeendelea kupambana na wanyama waharibifu na kuleta usalama wa watu na Mali zao katika Maeneo yanayozunguka hifadhi ya Serengeti."

"Mamlaka ya utoaji Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inaendelea kutoa vitambulisho na tumerahisisha kutoa huduma kwa kutembelea majimbo yote matatu siku moja moja ili kuwafikia wananchi kwa urahisi zaidi."


#kaziindelee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda