• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SHILINGI BILIONI 4.7 ZATENGWA NA TARURA KUTENGENEZA BARABARA NDANI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

Posted on: February 10th, 2023

Tarehe 07.02.2023

Baraza Maalumu la mapitio ya utekelezaji wa shughuliza TARURA kwa mwaka wa fedha 2022/2023 na Mpango na Bajeti ya matengenezo ya barabara kwa mwaka wa fedha 2023/2024 katika Halmashauri ya Mji wa Bunda limefanyika leo katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda.

Mwenyekiti wa Baraza hilo Mheshimiwa Michael Kweka baada ya kufungua baraza alimkaribisha Meneja wa TARURA Mhandisi Baraka Mkuya kuwasilisha taarifa ya utekelezaji na Mpango na Bajeti ya matengenezo ya barabara kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Mhandisi Baraka Mkuya amelieleza Baraza kuwa TARURA Wilaya ya Bunda imekisia kutumia jumla ya shilingi Bilioni 4.7 kwaajili ya matengenezo ya barabara katika Halmashauri ya Mji wa Bunda ikiwa ni bajeti yenye ukomo.

Mhandisi Baraka amesema mpango na Bajeti huo ni rafiki kwasababu umezingatia maoni na vipaumbele vya Waheshimiwa Madiwani ambao kwa hakika wametoa ushirikiano wa kutosha katika kuonesha mahitaji katika maeneo yao ya Utawala. Japo ameongeza kusema kuwa mapendekezo ya Waheshimiwa Madiwani yalikua ni mengi hivyo kwa kazi ambazo zitabaki zitazingatiwa kwa mwaka wa fedha ujao.

Baada ya kuwasilisha taarifa hiyo washeshimiwa Madiwani waliongezea maoni juu ya barabara ambazo zipo katika maeneo yao ambazo wanatamani zifanyiwe kazi. Mhandisi Baraka aliyapokea maoni yao na kuwakaribisha katika Ofisi yake kwa majadiliano zaidi.

Mwisho Baraza limempongeza Mhandisi Baraka pamoja na jopo lake katika kuhakikisha wanatatua changamoto za barabara katika Mji wa Bunda. Baraza kupitia Waheshimiwa Madiwani wamekili kwamba sasaivi kazi zinazofanywa na TARURA zinaonekana katika maeneo yote.

Awali Kamanda wa TAKUKURU Wilaya ya Bunda Paul Mohamed Mhehe ametumia fursa ya kikao cha Baraza hilo kuwasilisha ujumbe muhimu wa program ya "TAKUKURU - Rafiki" kwamba ni programu iliyoanzishwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ili kuongeza ushiriki wa kila mwananchi na wadau katika kukabiliana na Rushwa katika Utoaji wa huduma kwa jamii na utekelezaji wa miradi ya Maendeleo.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA ANUANI ZA MAKAZI March 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 25, 2018
  • HABARI NJEMA KWA WANABUNDA WOTE NA WALIO NJE YA BUNDA. May 08, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 05, 2020
  • Soma yote

Habari mpya

  • SHULE BORA KUIMARISHA USHIRIKIANO BAINA YA WAZAZI NA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI BUNDA MJINI (UWAWA)

    March 09, 2023
  • BARAZA LA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA LIMEPITISHA BAJETI YA TSH. BILIONI 32.9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    March 09, 2023
  • MKUTANO WA BARAZA LA HALMASHAURI KUELEZA SHUGHULI ZA UTEKELEZAJI ROBO YA PILI 2022/2023

    March 02, 2023
  • SHILINGI BILIONI 4.7 ZATENGWA NA TARURA KUTENGENEZA BARABARA NDANI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

    February 10, 2023
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda