• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SHULE BORA KUIMARISHA USHIRIKIANO BAINA YA WAZAZI NA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI BUNDA MJINI (UWAWA)

Posted on: March 9th, 2023

Idara ya Elimu ya Awali na  Msingi ya Halmashauri ya Mji wa Bunda kupitia mradi wa shule bora imeendesha mafunzo ya kuimarisha ushirikiano baina ya wazazi na walimu mashuleni.

Afisa Elimu Mwalimu Said Ramadhan amesema lengo la mafunzo haya ni kuhuisha au kufufua umoja wa Walimu na wazazi shuleni hasa katika suala la ufundishaji na ujifunzaji.

Mwalimu Saidi amesema umoja huu utakapoimarika  utakua ni chombo muhimu kwasababu utashiriki katika utatuzi wa changamoto mbalimbali zinazojitokeza mashuleni kama vile kukomesha utoro, kupambana na suala la ukatili wa kijinsia pamoja na changamoto nyingine zinazoathiri ufundishaji na ujifunzaji wa watoto mashuleni.

Aidha ameongeza kusema kuwa, umoja huu utasaidia pia kuboresha miundombinu ya ufundishaji na ujifunzaji mashuleni ikiwemo vyumba vya madarasa, vyoo pamoja na nyumba za walimu kupitia vikao mbalimbali watakavyokua wakifanya kubaini na kutatua changamoto zinazojitokeza mashuleni.

Suala lingine ni kushiriki katika Utoaji wa huduma mbalimbali kama vile chakula kwa wanafunzi mashule ili kuwafanya watoto wawe na nguvu na uwezo wa kupokea wanayofundishwa na walimu wao.

Kwa upande wa Wenyeviti kupitia kwa Mwenyekiti wa Kamati ya shule ya msingi Kitaramaka Bwn. Magerengo Mashauri amesema anaishukuru sana Serikali kwa kuleta mafunzo hayo na kuwakusanya kwa pamoja walimu na wazazi kwani hapo nyuma hayakwepo. Bwn. Magerengo anasema hapo nyuma kulikua na migogoro mingi kati ya Walimu na wazazi lakini kupitia semina hii mambo hayo yote yatakwisha na ufaulu kwa watoto utapanda.

Naye Mwalimu David Makene Mwalimu Mkuu wa shule ya Kangetyutya kata ya Wariku kwa niaba ya walimu Wakuu walioshiriki mafunzo haya anasema semina hii imekuja kuamsha ari mpya ya usimamizi utekelezaji wa majukumu ambayo kwao walimu Wakuu wanapaswa kuyafanya.

Lakini pia ameongeza kusema kuwa kuwaunganisha Walimu wakuu, Waratibu Elimu kata pamoja na Wenyeviti wa Kamati za shule utasaidia sana kujenga mahusiano mazuri katika utekelezaji wa majukumu.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda