• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UZINDUZI WA MIONGOZO YA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZA NGAZI YA ELIMU MSINGI BUNDA 28.09.2022

Posted on: September 28th, 2022

Mheshimiwa Joshua Nassari Mkuu wa Wilaya ya Bunda amezindua rasmi miongozo iliyoandaliwa na Serikali kumsaidia Mwalimu na Mwanafunzi kufundisha na kujifunza na kisha kupata matokeo mazuri.

Akizindua Miongozo hiyo Mheshimiwa Nassari amesema" Changamoto za kufundisha na kujifunza zinatofautiana na namna ya kuzitatua ni tofauti hivyo miongozo hii isiwe kama Biblia au Msaafu kwamba kama ilivyoandikwa lazima iwe hivyo, mazingira yanatofautiana na miongozo hii imendaliwa kutumika Nchi nzima hivyo lazima Mwalimu awe mbunifu kuongezea mbinu mbalimbali pale zinapohitajika."

Mheshimiwa Nassari ameongeza kusema kuwa "Kila mtu apitie vizuri miongozo hii kwani itasaidia kujenga kujiamini katika kazi zetu kwasababu unawezakuta ulichokua unakifanya kwa uoga ukakikuta kwenye muongozo hivyo kikakufanya kujiamini zaidi. Lakini mwisho kinachopimwa ni matokeo mazuri, hivyo Mwalimu unaweza ukatumia mbinu mbalimbali halali kuhakikisha unapata matokeo mazuri."

Aidha, Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amewakumbusha Maafisa Elimu pamoja na Wakuu wa shule kuanza kujiandaa kutekeleza mradi unaotarajiwa kuja wa ujenzi wa madarasa kama alivyosikika Mheshimiwa Inocent Bashungwa na kulielekeza moja kwa moja kwa Waheshimiwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya. Mheshimiwa Nassari amesema "Mwaka jana tulifanya vizuri lakini mwaka huu tufanye vizuri zaidi kwasababu muda wa utekelezaji utakuwepo wa kutoshakuhakikisha tunajenga vyumba vya madarasa vilivyo bora.

Awali Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Mwalimu Saidi Ramadhani wakati akiwatambulisha wajumbe waliomo ukumbini alisema kuwa "Lengo la kusanyiko hili ni uzinduzi wa hii miongozo ambayo tayari tumeshaanza kuifanyia kazi katika maeneo yetu, hivyo tuhakikishe tunatimiza malengo kadri jinsi miongozo inavyoelekeza. Afisa Elimu amesema kuwa lengo la miongozo hii ni kuboresha Ufundishaji na ujifunzaji katika maeneo yetu na hatimae ufaulu uwe bora.

Uzinduzi huu umefanyika Kiwilaya na wajumbe toka Halmashauri zote mbili za Bunda walikuwepo, Halmashauri ya Mji wa Bunda na Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda