• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI WA NYASURA WATEMA NYONGO MBELE YA MKUU WA WILAYA YA BUNDA DKT. VICENT ANNEY

Posted on: July 4th, 2023

Ziara ya Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya Dkt. Vicent Anney imeendelea kuwa yenye mafanikio na matumaini makubwa sana kwa wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda.

Leo ilikua zamu ya kata ya Nyasura ambapo wananchi wa kata hiyo wamefunguka ya moyoni kwa Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya kutaka wasaidiwe.

Miongozi mwa mambo waliyoomba kusaidiwa ni kukomeshwa kutozwa fedha hospitalini kwa mama wajawazito pamoja na watoto chini ya miaka mitano, kuomba kuimarishwa kwa ulinzi na usalama, kuboreshewa huduma ya upatikanaji wa maji pamoja na kushusha bei ya maji, kuomba kituo cha Polisi kurahisisha huduma, upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa, michango mashuleni na mengine mengi.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amejibu kero za wananchi, kwa kuanza amewataka wazazi kutokomeza ukatili kwa wototo na kuwa karibu nao, kutunza vyakula walivyonavyo, kuwasomesha watoto wao na kuchangia chakula shuleni, amewataka viongozi wa makanisa kudhibiti kelele makanisani, ametoa maelekezo kwa Halmashauri hadi kufikia tarehe 20.08.2023 soko la Nyasura senta liwe limehamishwa na kuhamia soko la Manjebe.

Aidha, mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ametoa maelekezo kwa Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kufuatilia lawama zilizotolewa za kuwatoza fedha wajazito na watoto chini ya miaka 5. Na pia amewataka wananchi kutoa taarifa pindi wanapofanyiwa vitendo hivyo.

Naye Meneja wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira Bunda Mjini Bi. Esther Gilyoma amesema Bunda kwasasa haina shinda ya maji kwani wanazalisha maji mengi kuzidi watumiaji na pale huduma ya maji inapokua inakosekana inakua imetokea hitilafu ndogo hutatuliwa kwa muda mfupi au umeme kukatika.

Lakini pia kuhusu bei ya maji Mkuu wa Wilaya pamoja na Meneja wamesema BUWSSA inazalisha maji mengi kuliko watumiaji na gharama za uzalishaji ni kubwa kutokana na mitambo inayotumika. Hivyo bei inaweza kupungua watumiaji wakiongezeka.

Mwisho ametoa maelekezo kwa jeshi la Polisi kuongeza doria katika maeneo yote kupunguza uhalifu.

Wananchi wamefurahi kutembelewa na Mkuu wa Wilaya na kutatuliwa kero zao zote.


#bundayetu

#kaziiendelee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda