• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATENDAJI WA KATA BUNDA WAKUMBUSHWA WAJIBU WAO

Posted on: August 14th, 2023

Jumatatu, 14.08.2023

Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vicent Anney akiongozana na Balozi wa Pamba nchini Bwana Aggrey Mwanri, Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Bunda pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bwana Emmanuel Mkongo wametoa semina elekezi kwa Watendaji wa Kata wa Wilaya ya Bunda kuhusu utekelezaji wa majukumu yao kikamilifu.

Hayo yamejitokeza kukutokana na ziara ya Balozi wa Pamba Bwana Aggrey Mwanri aliyoifanya Wilayani Bunda kwa lengo kuwaweka tayari watendaji kupokea na kutekeleza kwa usahihi kampeni ya Mashamba darasa ya pamba yanayotarajiwa kuanzishwa katika kila kata ili kuleta matokeo chanya ya kilimo cha pamba.

Mkuu wa Wilaya Dkt. Vicent Anney amewakumbusha Watendaji wa Kata kuhusu majukumu yao ya kwamba ndio Viongozi wa Kata na Viungo kwa viongozi wengine wote waliopo katani na kushughulia masuala yote yanayohusu Kata lakini pia ndiyo wahamasishaji wakuu wa masuala ya maendeleo katani ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kilimo cha pamba kinatekelezeka kwa usahihi na ufanisi.

Aidha, Mkuu wa Wilaya amewakumbusha Watendaji kwamba Mkubwa ni mtu yeyote anayefuata utaratibu katika nafasi yake.

Amesisitiza kuwa Mtendaji wa Kata ana wajibu wa kutatua shida, kero na matatizo yote yanayotokea katani na kwa yale yanayokuwa nje ya uwezo wake kuyawasilisha katika sehemu husika.

Kwa upande wake Balozi wa Pamba Bwana Aggrey Mwanri ameeleza kuwa suala la kusikiliza na kutekeleza maelekezo toka kwa viongozi wao ni la lazima. Ni lazima kila mmoja aheshimu mamlaka iliyojuu yake kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu zilizowekwa na nchi.

Balozi wa pamba aliongeza kuwa ili kufikia lengo la Wilaya kulima na kuvuna Tani elfu 28, ni lazima kila mmoja atekeleze wajibu wake katika nafasi yake.

Awali, Afisa Usalama wa Wilaya ya Bunda Bwana Fadhiri aliwakumbusha Watendaji wa Kata kuwa ni wajibu wao kusimamia utaratibu katika Kata zao na pia ni lazima watumie mbinu mbadala kuweza kuhakikisha Sheria, Taratibu na Kanuni zote zinafuatwa katika maeneo yao ikiwa ni pamoja na kuwa mabalozi wazuri wa zao la pamba katika maeneo yao.


#bundayetu

#kaziiendelee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda