• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WILAYA YA BUNDA YAANDAA MIKAKATI KUDHIBITI KUSAMBAA KWA COVID - 19

Posted on: March 27th, 2020

KIKAO CHA DHARURA CHA KAMATI YA AFYA YA MSINGI CHA WILAYA YA BUNDA (PHC)

Kamati ya Afya ya Msingi ya Wilaya ya Bunda chini ya Mwenyekiti wake Mkuu wa Wilaya Bi. Lydia S. Bupilipili imelazimika kukaa kikao cha dharura kujadili namna ya kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa wa Corona unaosabishwa na virusi vya COVID-19.

Mkuu wa Wilaya ya Bunda amesema serikali imechukua hatua za msingi kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa huu ikiwa ni pamoja na kutoa matamko mbalimbali ya kutekelezwa nchi nzima ili taifa letu libaki kuwa salama.

Ugonjwa wa Corona tayari umeshaingia nchini na hadi sasa kuna case 12 za wagonjwa wa Corona ambao wapo katika uangalizi wa madaktari.


Lengo kuu la kikao hiki ni kujadili hatua mbalimbali za lazima katika kupambana na ugonjwa huu. Wajumbe walijadiliana kwa kina na kuja na maazimio yafuatayo:-

i. Kuhakikisha elimu dhidi ya ugonjwa wa corona inatolewa kwa jamii na taasisi zote za serikali na zisizo za serikali.

ii. Kuhakikisha vituo vyote vilivyotengwa kwa tahadhari (Karantini) ambavyo ni Bukama, Bitarugu na Mwitende vinajengewa uwezo wa kukabiliana na washukiwa wote wa ugonjwa wa Corona.

iii. Kuhakikisha vituo vyote vya kutolea huduma ya afya vinanunua vipimia joto (Thermoscanner) kwaajili ya kutambua dalili za awali za ugonjwa wa Corona.

iv. Kuwa na maeneo ya kunawia mikono sehemu zote za taasisi, stendi, makanisa, misikiti na maeneo ya biashara.

v. Kufatilia na kuhakikisha bei ya vitakasa mikono inabaki katika bei yake ya msingi kuepuka upandishaji holela wa bei.

vi. Kuhakikisha magari ya abiria yanakua sit level (abiria kulingana na idadi ya viti). Mabasi yasizidishe abiria.

vii. Kuanzisha vyumba tengwa (Holding rooms)  kwenye vituo vyote vya afya kwa washukiwa wa ugonjwa wa corona.

viii. Kusitisha uuzaji wa vilevi vyote kwenye maeneo ya mitera, minada na masoko ili kuepusha mazingira hatarishi ya ugonjwa huu.

ix. WDC zote kuandaa program ya kuelimisha umma ikiwezekana kutumia walimu waliopo katika kata zetu kutoa elimu.

x. Kuhakikisha Dawa na vifaa tiba vya ugonjwa wa Corona vinanunuliwa na kuwepo katika vituo vya kutolea huduma.

Mheshimiwa Mkuu wa wilaya Bi. Lydia S. Bupilipili ambae ndie Mwenyekiti wa kikao hiki amesema kupitia viongozi wote wa serikali, kamati ya ulinzi na usalama, Wakurugenzi na watumishi wote pamoja na viongozi wa dini lazima tusimamie na kuhakikisha maazimio haya yanazingatiwa na kutekelezwa na wananchi wote. Usafi uzingatiwe kwani ugonjwa huu unatukumbusha pia suala la usafi.


Aidha tuzingatie maelekezo yote yaliyotolewa na Serikali na wataalamu wa Afya kama vile:-

Kunawa mikono kwa sabuni mara kwa mara.

Kuepuka kushikana mikono.

Kutumia vitakasa mikono.

Kuepuka safari zisizo za lazima.

Kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima.

Na Kwenda kituo cha afya mara uonapo dalili za ugonjwa huu.

Tuachane na mira na desturi zinazoshabikia uchafu.


Ugonjwa wa Corona ulianzia nchini China maeneo ya Wuhani mwishoni mwa mwaka 2019. hadi sasa kesi za corona zilizolipotiwa duniani kote ni kesi 471,417. Ugonjwa huu umesababisha vifo vya watu 21,295 na wagonjwa waliodhibitika kupona ni wagonjwa 114,642.


Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda