• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA MH. JOSHUA NASSARI MKUU WA WILAYA YA BUNDA KATIKA MIRADI YA UJENZI WA MADARASA SHULE YA SEKONDARI WARIKU, NYIENDO NA SHULE SHIKIZI LIGAMBA B

Posted on: November 8th, 2021

Mhe. Joshua Nassari Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Leo tarehe 08/11/2021 ametembelea miradi wa ujenzi wa madarasa unaondelea katika Halmashauri ya Mji wa Bunda kupitia fedha za Mpango wa Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO – 19 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Sekondari ya Wariku, Nyiendo na shule ya Shikizi ya Ligamba B.

Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya kupitia Waheshimiwa Madiwani na Watendaji wa Kata, Wenyeviti wa mitaa, wajumbe wa Bodi na kamati za shule za shule ametoa rai kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika miradi hiyo ili kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita. Mhe. Nassari ameeleza kuwa ushiriki huu sio wa kutoa fedha bali kushiriki katika shughuli mbalimbali kama kuchimba msingi, kubeba maji, mchaga na mambo mengineyo kulingana na asili ya eneo husika. Mfano mzuri wa ushiriki wa wananchi umeonekana katika Shule ya Msingi Shikizi ya Ligamba B ambapo wananchi wameshiriki katika kuchimba msingi, kusomba mawe na kubeba mchanga. Juhudi hizi zitasaidia katika kuokoa fedha ambazo zinaweza kutumika kukamilisha mambo mengine shuleni.

Aidha, Mhe. Mkuu wa Wilaya amewaekelekeza Waheshimiwa Madiwani, Wenyeviti, Watendaji wa kata na mitaa na Uongozi wa shule kuhakikisha kuwa hakuna mtu yeyote atakaekwamisha ujenzi wa madarasa hayo. Mhe. Nassari amewataka walimu kuendelea kufundisha na kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa madarasa kupitia kamati zilizoundwa kwa utaratibu wa “Force Account” katika shule hizo.

Katika kuhakiksha ujenzi huu wa madarasa unakwenda kama ilivyopangwa, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Ndg. Emmanuel Mkongo amemhakikishia Mhe. Mkuu wa Wilaya kwamba upatikanaji wa tofali zilizo bora na viwango kwa shule zote upo na kwamba tofali zote zitazalishwa katika kiwanda cha Tofali cha Halmashauri ili kudhibiti ubora ambapo hadi sasa kiwanda kinaendelea kuzalisha tofali hizo. Mkongo ameeleza kuwa Serikali imeelekeza Halmashauri kuratibu ununuzi wa vifaa vya ujenzi, mabati, mbao, na saruji kuagizwa kwa pamoja (Bulk procurement) ili kupunguza gharama. Hata hivyo, Halmashauri inaendelea kufanya upembuzi wa utengenezaji wa viti na meza pamoja na madawati kwa pamoja ili kupunguza usumbufu kwa walimu unaoweza kujitokeza wakati wa utengenezaji wa leja leja.

Halmashauri ya Mji wa Bunda imepokea Jumla ya shilingi Bilioni 1.8 kwaajili ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO – 19 ili kutekeleza Miradi ya ujenzi wa vyumba 51 vya madarasa ya shule za sekondari na vyumba vya madarasa 8 vya shule za msingi.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda