• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BENKI YA BIASHARA TANZANIA (TCB) IMEISAIDIA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA COMPYUTA PAMOJA NA SCANNER

Posted on: August 18th, 2022

Leo tarehe 18.08.2022 Benki ya Biashara Tanzania imeendeleza utaratibu wa kurudisha faida kwa jamii kutokana na faida inayozalisha kwa kuichangia Halmashauri ya Mji wa Bunda Vifaa vya Kielekroniki ambavyo ni Kompyuta Moja na Scanner Moja kwaajili ya kuongeza ufanisi wa kazi.

Akitoa neno la shukrani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bw. Emmanuel J. Mkongo baada ya kupokea vifaa hivyo ameishukuru na kuipongeza Benki ya Biashara Tanzania  kwa ushirikiano mzuri inauonesha katika Ofisi yake zaidi kwa kuchangia Hivyo vifaa vya Kielekroniki ambavyo kwa namna Moja au nyingine vitaenda kusaidia kuboresha kutoa huduma kwa Wananchi na kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa.

Zaidi ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano katika Benki hiyo hasa kwa kuendelea kutoa mikopo yenye riba nafuu kwa Watumishi na Wananchi wote wa Halmashauri ya Mji wa Bunda. Aidha, Mkurugenzi ameziomba Taasisi nyingine za kifedha kujitokeza na kuiga mfano mzuri wa Benki ya TCB kwa hiki walichokifanya.

Awali Meneja wa Benki ya Biashara Tanzania Tawi la Bunda Bw. Samuel Charles amesema Benki ya TCB imeamua kusaidia Halmashauri ya Mji wa Bunda Vifaa hivi vya Kielekroniki Ili kusaidia kupunguza upungufu uliopo Halmashauri wa vifaa na zaidi kuboresha utoaji wa Huduma Bora kwa Wananchi na kwa Wakati.

Bwana Samuel ameongeza kusema kuwa Benki ya TCB inanufaika na Halmashauri kwa kutoa mikopo kwa Watumishi ambapo Ofisi ya Mkurugenzi ndio inakua mdhamini Mkuu wa Watumishi hao. Mbali na kutoa mikopo kwa Watumishi Benki imekua ikitoa mikopo pia kwa Wananchi wote wenye vigezo.

Mwisho Meneja amesema kuwa mara nyinyi wanarudisha faida kwa Taasisi kwasababu Taasisi inatoa huduma kwa watu wengi zaidi hivyo nao wanakua wanahusika kwa namna Moja ama nyingine kutoa huduma kwa Wananchi.

Matangazo Mengine

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI June 27, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, DEREVA June 12, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda