• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC NAANO ATETA NA WAFANYABIASHARA BUNDA

Posted on: May 8th, 2023

Kama ilivyo kawaida ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vicent Anney kukutana na makundi mbalimbali ndani ya wilaya kusikiliza na kutatua kero zao, leo ilikua zamu ya wafanyabiashara.

Mkuu wa Wilaya aliambatana na KUU ya Wilaya,Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) tawi la Bunda, Meneja wa TARURA wilaya,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na BUWSSA kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero.

Wafanyabiashara wamempongeza Mkuu wa Wilaya kwa wazo zuri la kuwakutanisha na kusikia kero zao aidha wameeleza baadhi ya kero walizonazo ni kuwekewa mfumo rahisi wa hesabu zao kwa kuzingatia uelewa wa wafanyabiashara, kuboreshewa huduma ya Maji, huduma ya usafi, Barabara, Mfumo wa Tausi wa utoaji leseni, kupewa, taarifa mapema pindi mabadiliko yanapofanyika katika maeneo yao ya Biashara, kuboresha vibanda vya stendi pamoja na stendi mpya, tatizo la kelele kupitiliza, kushirikishwa katika miradi inayotekelezwa na Serikali kwa kupewa zabuni, kulipwa madeni yao na mambo mengine mengi.

Mkuu wa Wilaya alitoa nafasi kwa watalamu kujibu hoja za wafanyabiashara ambapo watalamu walikiri kuzipokea kero hizo na kuzifanyia kazi. Aidha Wakurugenzi wameomba Mahusiano mazuri toka kwa wafanyabiashara, Uaminifu pindi wanapokua wapewa zabuni, kutoa huduma bora yenye viwango vinavyohitajika na kutoa huduma kwa wakati.

Halmashauri zimeahidi pia kulipa madeni kidogo kidogo kulingana na mapato yanayokusanywa. Naye  Meneja wa TRA ameahidi kutoa Elimu ya mlipa kodi na mambo mengine yote yanayohusu ulipaji wa kodi ili kuondoa sintofahamu ya inayojitokeza kwa wafanyabiashara. Kuhusu barabara Meneja ameahidi kuzifanyia Kazi.

Mwisho Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya Dkt. Vicent Anney amewaahidi wafanyabiasha kwamba matatizo yote yatatatuliwa na Mazingira ya Biashara yatakua bora.

Aidha, Dokta Anney ametoa maelekezo kwa Halmashauri ya Mji wa Bunda kutenga eneo la Bustani mji itakayowafanya watu kupumzika, kuweka Vyombo vya taka (dust bin) za aina ya chupa,  plastic, na taka zinazooza na kuweka mtu wa kuelekeza watu namna ya kutumia.

Mwisho amewataka kufuata sheria ili kuepuka mkono wa Serikali


Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda