• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri ya Mji wa Bunda yapokea Msaada wa vifaa vya ujenzi wenye thamani ya Sh 15,722,000 toka kampuni ya kizalendo ya Maboto Enterprises kwajili ya ujenzi wa jengo la kuhifadhia maiti

Posted on: December 17th, 2017

Halmashauri ya Mji wa Bunda imepokea msaada wa vifaa vyenye thamani ya Sh 15,722,000/= toka kwa kampuni ya kizalendo ya Maboto Enterprise Limited; kwajili ya kuchangia ujenzi wa jengo la kuhifadhia maiti. Katika kukabidhi msaada huo Mkurugenzi wa kampuni ya Maboto Bw. Robert Maboto ameeleza kuwa kampuni yake ina utaratibu wa kuthamini na kurudisha fadhila kwa jamii. Pia kaahidi kuendelea kuchangia ujenzi wa jingo hilo mpaka litapo kamilika. Vifaa alivyo kabidhi katika hafla hiyo ni kama ifuatavyo:- Mbao 725 za ukubwa tofauti, Bati 28G 216, Nondo 90 za ukubwa tofauti, saruji mifuko 50, misumari kilo 182 ya ukubwa tofauti, binding wire 1, kenchi wire1 pamoja na usafiri hadi eneo la ujenzi.

Akizungumza katika hafla fupi ya kukabidhi vifaa hivyo Mkuu wa wilaya ya Bunda Bi. Lidia Bupilipili amesema kukamilika kwa jingo hilo la kuhifadhia maiti italeta tija kubwa kwa wananchi wa halmashauri ya mji wa Bunda, wilaya ya Bunda na majirani zao, ameeleza kuwa wananchi wa Bunda wamepata adha kwa kipindi kirefu maana wamekuwa wakifuata huduma hiyo mbali sana na kwa gharama kubwa pale wapendwa wao wanapoaga dunia. Hivyo ameipongeza kampuni ya Maboto kwa kuunga mkono juhudi za serikali za kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wake.

Awali akimkaribisha Mkuu wa wilaya Mkurugenzi wa Mji wa Bunda Bi. Janeth Mayanja ameipongeza kampuni ya Maboto kwa kuunga mkono juhudi za serikali za kuimarisha miundombinu ili kutoa huduma za afya zilizo bora. Aidha amewataka wadau wengine wa maendeleo walioko ndani na nje ya mji wa Bunda kuiga mfano huo wa kujitolea kuchangia maswala mbalimbali ya maendeleo katika halmashuri.


Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda