• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUTANO WA BARAZA LA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA ROBO YA KWANZA TAREHE 22/11/2021

Posted on: November 22nd, 2021

Leo tarehe 22/11/2021 Halmashauri ya Mji wa Bunda imefanya Mkutano wa Baraza la Halmashauri ambao ulitanguliwa na Mkutano wa Baraza la kuwasilisha ya Taarifa za Kata uliofanyika tarehe 18/11/2021 ambapo Taarifa za Kata tano za Balili, Kabarimu, Kunzugu, Bunda Mjini na Guta ziliwasilishwa na kujadiliwa na Waheshimiwa Madiwani.

Katika siku ya pili ya Baraza chini ya Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Michael Kweka, imeelezwa kuwa Halmashauri itatoa mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu  ndani ya mwezi Novemba ambapo vikundi vilivyotakiwa kupewa mikopo kipindi kilichopita vitapewa kipaumbele.

Baraza pia limeazimia Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ya Mipangomiji na Mazingira kwenda kutembelea maeneo ambayo yamependekezwa na Kamati ya wataalamu kujenga Hospitali ya Halmashauri ambayo ni kata ya Guta, Bunda stoo na Sazira. Baada ya kutembelea, Kamati imetakiwa kuleta mapendekezo ambayo yatajadiliwa na kupitishwa katika Baraza lijalo la Mwezi Januari, 2022.

Aidha, Kupitia Mkutano huu Waheshimiwa Madiwani wamepitia, kujadili na kuridhia mapendekezo ya Sheria Ndogo za Usafi wa Mazingira zilizopitishwa na Baraza lililopita la Madiwani ili kuhuishwa na kupelekwa kusainiwa na Waziri Mwenye Dhamana. Rasimu ya Sheria Ndogo ilirudishwa kutokana na mabadiliko ya Uongozi yaliyofanyika katika Ofisi ya Rais TAMISEMI na Halmashauri.

Katika Mkutano huo, Taasisi za Serikali zilizoalikwa zilipata nafasi ya kuwasilisha taarifa za utekelezaji.

Kwa upande wa TARURA, ilielezwa kuwa barabara zinazofanyiwa ukarabati kwa sasa  zinatokana na bajeti iliyopitishwa ya mwaka 2021/2022.

 Aidha, Waheshimiwa Madiwani wamemtaka Meneja wa TARURA kushirikiana nao kubaini barabara zenye changamoto na kuzifanyia kazi.

Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Maji ya Mji wa Bunda (BUWSSA) alieleza kuwa changamoto za maji zinazotokea kwa wakati huu zinatokana na matengenezo ya barabara ya Bunda – Serengeti, hali iliyopelekea mabomba mengi kukatwa. Hata hivyo, Kaimu Meneja amefafanua kuwa changamoto hizo zimeanza kutatuliwa na muda si mrefu huduma ya maji itarudi katika hali ya kawaida.

 Kuhusu shilingi milioni 500 zilizotolewa na Serikali kutatua changamoto ya maji katika Kata ya Kabasa mtaa wa Bitaragauru, Meneja wa RUWASA ameeleza kuwa tayari fedha hizo zimepokelewa na utekelezaji utaanza mara moja.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda