• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA ROBO YA NNE

Posted on: September 7th, 2022

Tarehe 07.09.2022

Leo Baraza la Halmashauri ya Mji wa Bunda robo ya nne limefanyika chini ya Mheshimiwa Mwenyekiti Michael Kweka.

Kamati nne zimewasilisha taarifa za utekelezaji wa kazi kwa kipindi Cha robo ya nne ambazo ni Kamati ya kudhibiti UKIMWI, Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya, Kamati ya Mipango Miji na Mazingira na Kamati ya Fedha na Utawala. Wajumbe wa Baraza walipata nafasi ya kujadili na kutoa maoni kwa Kamati hizo ambayo kwa hakika yalilenga kuijenga Halmashauri ya Mji wa Bunda.

Baadhi ya mambo ambayo Baraza imeyaeleza ni eneo la makaburi na dampo kuwekwa alama za kudumu Ili kuepusha uvamizi wa watu katika eneo Hilo.

Aidha Baraza limeeleza juu ya mikopo ya vikundi kwa vikundi vyote ambavyo viliidhinishiwa mikopo lakini havikupata fedha na vingine kupewa nusu kwamba vikundi Hivyo vitapewa kipaumbele katika mikopo itakayotolewa katika robo ya kwanza na tayari vikundi Hivyo vimeshaanza mchakato wa kujisajili na mfumo mpya Ili viweze kupewa mikopo hiyo.

Baraza limeeleza pia kuhusu uchakachuaji wa utengenezaji wa matofali uliojitokeza katika Kiwanda Cha Halmashauri ya Mji wa Bunda na kusema kuwa Halmashauri ilipata Taarifa hiyo na tayari hatua za kisheria na kinidhamu kwa wote waliohusika zinaendelea dhidi ya watu hao.

Kuhusu Miradi inayotekelezwa katika Halmashauri ya Mji wa Bunda, Baraza imeeleza kuwa ni wajibu wa kila Diwani kusimamia Miradi hiyo Ili itekelezwe katika ubora unaohitajika. Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bw. Emmanuel Mkongo amesema kwamba fedha zote zitakazokuwa zinapelekwa katika Miradi Waheshimiwa Madiwani watakua wanapewa taarifa ili kuongeza usimamizi.

Mwisho, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bw. Emmanuel Mkongo alitoa taarifa kwa wajumbe kwamba Halmashauri imeshika nafasi ya Saba kati ya Halmashauri 184 zilizofanya vizuri katika utendaji kazi na usimamizi mzuri wa kuwahudumia Wananchi. Mkurugenzi ameongeza kusema kuwa mafanikio hayo yamekuja kutokana ushirikiano mzuri uliopo baina ya watendaji na Waheshimiwa Madiwani Hivyo kuomba kudumisha Umoja huo na kuendelea kuwatia moyo Watendaji.

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda