• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TWENDE BUTIAMA YAICHANGIA MADAWATI SABINI, MITI SHULE YA MSINGI NYERERE

Posted on: October 12th, 2023

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bwn. Emmanuel Mkongo ameishukuru Timu nzima ya TWENDE BUTIAMA kwa kuichangia shule ya Msingi Nyerere Madawati 70 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 5 pamoja na kutoa miti 1,000 itakayopandwa katika shule hiyo ikiwa ni moja ya kampeni yao ya Twende Butiama.

Msafara wa Twende Butiama ulianza safari ya kuendesha Baiskeli kutoka Jiji la Dar es salaam kuelekea Butiama ambapo leo umefika katika Wilaya ya Bunda hususani katika Halmashauri ya Mji wa Bunda na kuweka kambi katika shule ya Msingi Nyerere.

Kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi Mkongo ameishukuru Timu ya Twende Butiama kwa heshima waliyoipatia Wilaya ya Bunda kwa kuwa sehemu ya Malengo ya Twende Butiama. Aidha, Mkongo amewasihi kuendelea kudumisha fikra za Mwalimu Nyerere za kudumisha Upendo, Umoja na Amani na kuendelea kupambana na maadui watatu ambao ni Ujinga, Maradhi na Umasikini.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Twende Butiama Bwn. Gabreil Landa amesema kwamba Twende Butiama imefikisha miaka mitano toka kunzishwa kwake mwaka 2019 na malengo yake makuu yakiwa matatu ambayo ni kudumisha Amani, Umoja, mshikamano na Upendo, Pili, Elimu kwa kuhamasisha Watanzania kuchangia katika Elimu na Mwisho Suala la Mazingira kwa kuhamasisha Wananchi kutunza mazingira kwa kupanda miti ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Aidha, Mwenyekiti wa Msafara amesema tangu waanze msafara huo wa kwenda Butiama wameshatoa zaidi madawati 300 katika maeneo yote waliyopita ambapo kwa shule ya Msingi Nyerere wametoa madawati 70.

Twende Butiama imekua na wadhamini mbalimbali ambapo mdhamini mkuu kwa mwaka 2023 ni Kampuni ya vodacom ambao wamesaidia kupatikana kwa madawati hayo pamoja na miti 1,000 ya kupandwa.

Awali katika Risala yake, mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Nyerere Edwine Byangwamu ameishukuru kampeni ya Twende Butiama ambao wamekuwa na mchango mkubwa sana katika shule hiyo. Msafara wa Twende Butiama leo ni mara ya tatu wanafika shule ya Msingi Nyerere na kufanya matukio mbalimbali ikiwa ni pamoja kupanda miti.


#kaziiendeleee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KAZI KADA MBALIMBALI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI KADA YA AFYA September 12, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI AMREF HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA August 31, 2024
  • Soma yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA YAKAGUA NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.09 IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

    March 12, 2025
  • RC MARA AMPOKEA DC BUNDA

    February 27, 2025
  • DC BUNDA DKT. VICENT ANNEY ALISHAURI BARAZA LA MADIWANI KUPANGA BAJETI YENYE TIJA KWA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    February 13, 2025
  • ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 32.2 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI IKIWA NI MPANGO NA BAJETI WA 2025/2026

    February 13, 2025
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda