• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua za Ofisi |
    • Malalamiko |
Bunda Town Council
Bunda Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vision
    • Miiko ya Halmashauri
    • Mikakati
  • Utawala
    • Chati ya Halmashauri
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
    • Idara Mbali mbali
      • Utumishi na Utawala
      • Idara ya Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Urban Planning and Natural Resources
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Kilimo na Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Miundombinu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Balili
      • Kata ya Kabasa
      • Kata ya Mcharo
      • Kata ya Manyamanyama
      • Kata ya Sazira
      • Kata ya Wariku
      • Kata ya Nyatwali
      • Kata ya Guta
      • Kata ya Kabarimu
      • Kata ya Bunda Stoo
      • Kata ya Nyasura
      • Kata ya Nyamakokoto
      • Kata ya Kunzugu
      • Kata ya Bunda mjini
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayo endelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Hotuba
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UZINDUZI WA BODI YA AFYA YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

Posted on: May 3rd, 2023

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vicent N. Anney amezindua bodi ya Afya ya Halmashauri ya Mji wa Bunda  leo Jumatano katika ukumbi wa Ofisi yake.

Dkt. Vicent amesema anaimani na bodi ilichaguliwa, aidha ameitaka kutekeleza majukumu yake ya msingi ambayo ni:

Kusimamia huduma ya Afya katika Halmashauri ya Mji wa Bunda, kusimamia miundombinu ya Afya, kubuni vyanzo vya mapato mbalimbali vinavyolenga kuboresha huduma ya Afya na kuongeza pato la Halmashauri, kusimamia uendeshaji wa vituo binafsi vya Afya, kuboresha huduma za iCHF, kusimamia uanzishwaji wa maduka ya dawa baridi yasiyohitajika katika Halmashauri ya Mji, kusimamia hospitali ya Mji wa Bunda kutoa huduma vizuri na majukumu mengine yote yanayohusu bodi.

Awali wakati akimkaribisha mgeni rasmi, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Ndg. Emmanuel Mkongo alisema Bodi hii iliyoundwa itaisaidia Halmashauri kusimamia ufanisi wa shughuli za Afya na kuboresha utoaji wa huduma za Afya.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa bodi aliechaguliwa Dkt. Pius Tubeti (mstaafu) alitoa neno la shukrani kwa kuchaguliwa na kuomba ushirikiano kutoka kwa wajumbe wa bodi na watumishi wa Serikali ili kufanikisha utekelezaji wa majukumu ya bodi.

Mwisho kwa niaba ya Halmashauri ya Mji wa Bunda  Mhe.  Mzamil Kilwanila Diwani wa kata ya Bunda Mjini ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya huduma za Jamii Halmashauri ya Mji wa Bunda  alimshukuru mgeni rasmi kwa kuzindua bodi hiyo ya afya na kumueleza kwamba majina ya wajumbe hao wa bodi yalipitishwa kwenye baraza la Halmashauri na kuridhiwa na wajumbe wa baraza.

Manthalani, Wajumbe hawa wa bodi kama ilivyoelezwa na Kaimu Mganga  Mkuu Dkt. Nuru kwamba wamepatikana baada ya mchakato wa kutuma maombi kukamilika na kati ya walioomba waliokua na sifa ndio waliochaguliwa.


#afyakwanza

#kaziiendelee

Matangazo Mengine

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI AMREF BUNDA MJI September 26, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KWA KADA YA MTENDAJI WA MTAA September 23, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 18, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA YA KUKUSANYA MAPATO June 09, 2023
  • Soma yote

Habari mpya

  • MKURUGENZI MKONGO AKAGUA MIRADI YA BOOST HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

    August 26, 2023
  • MKURUGENZI MKONGO AKAGUA MIRADI YA BOOST HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

    August 26, 2023
  • JUMLA YA MIRADI 39 YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 37.08 IMETEMBELEWA NA KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA

    August 24, 2023
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA BUNDA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA

    August 23, 2023
  • Soma yote

Video

Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017
  • Matokeo ya Kidato cha nne 2017
  • SHERIA YA MANUNUZI
  • Training Guide for updating and Preparation of District Strategic Plans
  • Majukumu ya Viongozi Ngazi ya Halmashauri
  • Land Act 2004
  • HOTUBA YA BAJETI OR - TAMISEMI
  • ORODHA YA WALIMU WAPYA

Kurasa za kufanana

  • Wizara ya Habari
  • Wizara ya Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • OR TAMISEMI
  • Mkoa wa Mara
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Bunda Town Council

    Anuani ya Posta: 219 Bunda

    Sim: +255 28 2621773

    Mobile:

    Barua Pepe: info@bundatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

haki zote zimehifadhiwa.Haki miliki ©2017 Halmashauri ya mji wa bunda