Posted on: June 7th, 2018
Halmashauri ya Mji katika Kituo cha Afya Manyamanyama ilipokea vifaa kutoka kwa Mh Rais John Pombe Joseph Magufuli. Vifaa viliwasilishwa na Mbunge viti wa Mkoa wa Mara Maalumu Agnes Mathew Marwa...
Posted on: June 28th, 2018
Halmashauri ya Mji wa Bunda imepokea msaada wa mifuko 300 ya saruji vyenye thamani ya Sh 6,000,000/= toka kwa kampuni ya kizalendo ya MWANZA HUDUMA; kwajili ya kuchangia ujenzi wa matundu ya vyoo kati...
Posted on: January 10th, 2018
Wanachama wa vyama vya kuweka na kukopa mkoani Mara wameshauriwa kuwa wakweli na waaminifu katika kurejesha mikopo yao ili kudumisha uhai wa Saccos zao.
Mkuu wa mkoa wa Mara Bw. Adam Kighoma Malima...