Posted on: November 10th, 2023
Halmashauri ya Mji wa Bunda kupitia Idara ya Elimu Sekondari leo imefanya hafla ya kuwapongeza walimu na wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani ya Kidato cha Nne na Sita mwaka 2022.
Mheshi...
Posted on: November 9th, 2023
Mkurugenzi wa Mamlaka ya maji Bunda (BUWSSA) Bi. Esther Gilyoma amelieleza Baraza miradi mikumbwa ambayo inatekelezwa na BUWSSA amesema:
Mradi Mkubwa wa chujio la Maji Nyabehu umefikia asilimia...
Posted on: November 9th, 2023
Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vicent Anney ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa kutekeleza vizuri miradi ya Elimu na Afya iliyoletwa na Serikali ya awamu ya sita.
Dkt. Anney am...