Posted on: August 20th, 2024
"Malipo ya fidia ya wananchi wa Nyatwali kuhama kupisha eneo kwaajili ya Hifadhi yamefika. Fedha hizo zimeshawekwa katika Akaunti ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) na kinachofuata sasa ...
Posted on: August 19th, 2024
Leo tarehe 19.08.2024 Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Mji wa Bunda imekutana kujadili utekelezaji wa Afua za Lishe katika kipindi Cha Robo ya Nne 2023/2024 chini ya Mwenyekiti Kaimu Mkurugenzi Bi. A...
Posted on: August 12th, 2024
Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Bunda ikiongozwa na Mwenyekiti Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Dkt. Vicent Anney imekutana kwa lengo la kutoa maoni kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika Ukumbi ...